Search results

  1. suma van paya

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mwenye wimbo wa Sugu unaitwa Muziki na Maisha atupie hapa tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
  2. suma van paya

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736] Boooom Sent using Jamii Forums mobile app
  3. suma van paya

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bristol vs coventry Tip GG& 3+ Odd :2.10 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. suma van paya

    Ufahamu mgogoro wa BREXIT

    Bonge la uzi
  5. suma van paya

    Maalum kwa ajili ya wanyama pori

    Black mamba ni nyoka hatari sana lakini akikutana na nyegere(honey badger) hana ujanja analiwa kama keki Sent using Jamii Forums mobile app
  6. suma van paya

    iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

    Wadau naomba msaada jins ya ku bypass passcode kwenye iphone 6s haijawa locked na icloud.natanguliza shukran
  7. suma van paya

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    St etiene GG FK qabala GG Shaktar GG Athletic bilbao GG Fenerbahce GG Stake 10,000
  8. suma van paya

    Wapenzi wa movie: Nukuu za Movie zilizowahi nifurahisha

    We are captives of our own identities,living in a prison of our own creation..t-bag Prison break
  9. suma van paya

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Njia rahisi mkuu ni kununua vocha kwenye maduka yao alaf unaload kama kawaida..duka kubwa lipo mwenge itv na branch ipo kariakoo msimbazi kwenye jengo la simba
  10. suma van paya

    Movie ambazo zimepitiliza Uwongo

    Duh hii kiboko aisee
  11. suma van paya

    Yupo wapi Nargis Mohamed?

    Wageni mjini hao waulize vizuri..nenda mpaka mikocheni b chukua boda boda au bajaji mwambie nipeleke crdb makao atakupeleka..
  12. suma van paya

    Yupo wapi Nargis Mohamed?

    Anasoma MBA..na anafanya kazi CRDB makao makuu pale mikochen karibu na nyumba za mawaziri
  13. suma van paya

    Yupo wapi Nargis Mohamed?

    Yupo mzumbe pale upanga anasoma masterz
  14. suma van paya

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hongera sana kijana naona weekend imekua nzuri kwako
  15. suma van paya

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Weka mkuu tukufuate mimi ni moja ya wafuasi wako kwenye NBA
  16. suma van paya

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asante sana mkuu nilijaribu kukufuata jana
Back
Top Bottom