Unaweza ukanywa maziwa siku 29 siku ya 30 ukanywa sumu bado utakufa vile vile.
Hii inamaanisha ubaya wako mmoja unaweza kufuta mema yako yote.
Kwa hiyo kuwa makini na mtu unayemtendea ubaya[emoji1600][emoji1600] enline g
Wengine tumetoka vijijini kuja mjini tunajua nini tumefata ,tumekuja kupambana tuokoe familia zetu ,zikae sawaa usisahau kilicho kuleta mjini
enline_g✅
Mwanaume ukiwa huna kazi kuna namna mchumba ako anakuona ,tunaweka vitu vingi sana moyoni kias kwamba unaweza kuwa huna kazi huna ela lakin ukitaka kuzalaulika mwambia your fience !huna kazi ume haribu , unaweza ombwa pesa ukatoa vocha ukatuma lakin huna kazi mwanaume apewe heshima yake...
mtu wako wakaribu awe mpenzi ,rafiki ama nduguu vyovyote vile basi anavo ondoka na kwenda mbali
unagundua vitu viwili 1️⃣nikiasi gani unamhitaji na kuliona pengo lake2️⃣nivile alikuwa kikwanzo kukukwamisha kwenye mambo yako so unafurahia kuondoka kwake penda unachofanya ,amini unacho kifanya...
Nina swali moja kama sio mawili.
Eneo lililotengwa kwa ajili ya maziko ya watu (makaburi) ni sawa Serikali ama mtu binafsi kupatumia kwa shughuli za ujenzi kwa maana ya kusambaza makaburi bila utaratibu wowote?
Amin kuwa pesa haiwez nunua kila kitu au kufanya kila kitu vuta picha siku upo home umelala bank una kama m 10 💰hivi ila 📱imezima afu umezidiwaaa unaumwa atari ata kunyanyua mguu unashiwa ndan una kama jiwe 2 🌝 ndo unachomoka ikiwa pesa unazo mtu wangu
Kuna wale wenzetu ambao huwa wanaomba ushauri juu ya biashara za kufanya😕,na kupewa ushauri mbalimbali lakini kiuhalisia ukiona umewin kupata pesa basi ni kuwa una uwezo wa kuchanganua jinsi utaitumia hiyo pesa.
Kama ni biashara angalia una idea gani kwanza, ukiomba ushauri kuna watu...
Mama: calling--------
mimi: hellow mama shkamoo
Mama: marahaba baba za uzima
mimi: njema mamaangu mungu anasaidia vipi nyie hukoo
mama: huku kwema baba ile hela nimepata asnte mungu akubariki 🙏
mimi : ahaaah 😀😀usijar mamaangu nikawaida
mama: sawa mwanangu uwe na asubhi njemaa
mimi :asntee...
Hii nimeona nii lete kwenu wakuu kuna jamaangu ali kuwa na mpenz wanapenda sanaa ila hajawahi kus#e&x nae kila akimwomba ana mwambia nitakupaa 🤭 ikafika muda mwamba aka chimba akamwacha manzi
je hii iko sawa kuwa no sex no lovee ✅✅
Hapo niviongozi kutoka CAF wakipata chakakula wapo hapa nchini kuhusiana na Africa super ligi sasa najiuliza mbona cioni ata kiongozi mmoja wa 🌳🌳🌳🌳au wao sio super au basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.