Wakuu habari za wakati huu?
Nahitaji huduma ya tractor au grader kwenye maeneo haya Mkata, Handeni au Tengwe (Tanga)
Kama kuna mdau yoyote anaweza kuniconnect na mtu au kampuni yenye tractor au grader naomba anisaidie tafaadhali, itakuwa vizuri kama nipata wasaliano yao ili tuwasiliane moja...
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 26, kitaaluma mimi ni mtaalamu wa ufugaji wa viumbe vya majini (aquaculturist)
Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye hii industry nimefanya kazi katika miradi kadhaa katika mikoa ya Pwani, Shinyanga, Mwanza na Tabora. Lakini kwa sasa nimejikita kama...
Asante kwa kunitia moyo
Hii ni Kama update ya kufanya watu wawe aware juu ya huduma ninayotoa, kukutana na wadau
Pia kufungua milango kwa mtu anaeweza kunitumia kwa shughuli yoyote ambayo anaona nina fit in
Mwaka huu nimepanga kujiendeleza na lengo ni kusoma hadi masters in the near future
Samaki wa mazingira ya asili wanakuwa na kiwango kidogo cha mafuta kwasababu wild fish are constantly moving and trying to find food to eat ukilinganisha na samaki wakufugwa ambao wanakuwa na mafuta mengi kwasababu hawana movement nyingi za kutafuta chakula
Samahani naomba nikusahihishe
Asilimia kubwa ya samaki wakufugwa Sato na Kambale wanafugwa kwenye maji baridi
Kuhusu ladha kuna sababu zifuatazo
Sababu ya kwanza uwa ni maji, mfano maji ya bwawani uwa ni machache kuliko ya mtoni au ziwani hivyo uchafuka haraka nakutoa harufu inayoathiri hadi...
Naendelea
Nilianza kufundisha kama mwalimu wa day care wakati huo nikitafuta kazi ya taaluma yangu au yoyote tu yenye maslahi mazuri, bahati nzuri nilipata kupitia hii Jf
Kazi nilipata Tabora, nilisafiri nikaenda Tabora nikafanya kazi kama farm manager, hapa kiasi flani nilisettle na maisha...
Napambana sana kaka nimeshafanya kazi nyingi hadi kufikia sasa hivi naomba nielezee kwa ufupi
Baada ya kumaliza chuo ngazi ya diploma nilitaka kuendelea na bachelor ila nilikosa mkopo na familia yangu aikuwa na uwezo wa kuniendeleza
Option pekee niliyokuwanayo ni kutafuta kazi ili baadae...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 taaluma yangu ni ufugaji samaki kiwango cha elimu ni Diploma (Diploma in Aquaculture Technology)
Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye hii industry nimefanya kazi katika miradi kadhaa katika mikoa ya Pwani, Shinyanga, Mwanza na Tabora. Kwa sasa nimejikita kama...
Nikiwa kama mtaalamu wa viumbe wa majini (aquatic species) sishauli ufanyike upandikizaji wa samaki wageni (exotic fish) kwa sababu zifuatazo
Baadhi ya introductions have proved so effective that the new species has been able to out compete existing fishes resulting in a considerable reduction...
1. Amna madhara yoyote ya kiafya kwa walaji wa samaki wa kufugwa
2. Nivigumu kujua kama samaki uliyenunua kwa ajili ya kitoeo ametoka kwenye mazingira ya asili au ni wakufugwa kwa sababu wanafanana kimuonekano tofauti ni mazingira wnayotokea na aina ya species
3. Sina uhakika na hilo supplier...
1. Sato ni samaki anaekula vyakula aina ya mimea na wanyama/wadudu (phytoplankton and zooplankton) ila kwenye ufugaji tunawalisha chakula chenye mchanganyiko wa virutubisho muhimu (pumba za mahindi, mpunga, mabaki ya dagaa, soya, mashudu ya alizeti n.k) usagwa, uchanganywa na kisha utengenezwa...
Niweke sahihi, hoja ilikuwa hakuna sato mwenye kilo moja
Twende kwenye hoja ya pili muda ambao samaki anachukua hadi kufikisha kilo 1 au zaidi
Naomba nijikite kwenye samaki wa kufugwa, muda unategemea na factors kama vile chakula, ubora wa maji na management kwa ujumla
Binafs nimeshuhudia...
Namashaka na uelewa wako kuhusu samaki, nimekuwa kwenye industry kwa zaidi ya miaka mitatu nimeshuhudia samaki wengi tu ambao wanazaidi ya kilo 1
Fatilia utaona, tembelea sehemu zenye vizimba (cage culture) au miradi mikubwa ya ufugaji samaki au landing site zilizo around Ziwa Victoria utaona...
Nimejaribu kuelezea kwa ufupi zoezi la utotoleshaji wa vifaranga vya samaki
Samaki sato ni aina ya samaki wanaotunza, kutolesha na kutunza vifanya wao mdomoni (mouth brooders)
Ili kuzalisha vifaranga ambao watakuwa na uniform size inakulazimu kukusanya mayai toka kwenye vinywa vya Samaki...
Njia nyingine ya kuzalisha samaki madume inajulikana kama YY, njia hii wanatumia samaki ambao ni Super male aina hii ya samaki waki mate namajike samaki watakao zaliwa hapa watakuwa madume wote
Nyingine ni kutumia species mbili tofauti ambazo zikikutana razima vifaranga watakaopatikana wawe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.