Msinikumbushe kuhusu hzo calculators maana nilishawah kua na calulator nilitest vyote ipo okay naingia kwenye ue kitu kimekata kabla hata sjaanza exam afu mtihan wa accounts hesabu mwanzo mwisho..umakin unahitajika I see unaweza zimia ktk exam
Ngja waje wanautumiaga....il flsh plyer sjui waweza ituma files kwa kutumi hyo app bila ya internet conection it only need that app being installed kwa sender nq receiver
Habari wadau...nadhan tunatambua matatzo ya chaji ktk simu zetu za android..mwenye kujua brand namr ya power bank imara naomba anijuze mana zimelua nyingi kweli nowdays had mtu huelewi which is which..AHSANTEN
Pole kaka I feel it too...I just passes a somewhat a similar kind of life 'single parent" and the worst thing is my daddy passed away one year ago hzo lawama za kutompenda baba nilizipokea sana tu and some even said umefurah ss babaako kafariki? Unampenda sana mamaako ww kuliko baba..hv...
Msaada wadau natumia samsung note lite shv-e160l lakn toka ninunue texts znaingia bila namba zote na znajisave ktk thread moja named no caller id as if namba hazjasevia.....na siwez kujibu hzo text mana hazna namba nabhuwezi jua nan katuma msaada ndugu
13: gal amelala na mumewe sjui bf ake anavaa bra,mgaun mzito au nite dress plus khanga juu...au boy ana jeans kbs eti kalala na demu wake(woman of principle ya Ray)
wajojo Hujui mateso ya ndoa.. mme wangu aliniambia anaenda south kikaz..utamfichia passport?,ila nilikuja kujua kuwa alienda na huyo jamaa baad ya kufany uchunguz
we nawe hueleweki ss mala useme ulimsikia anaongea na simu wanapanga kwenda south..mala useme hukujua...haya bas kaa na basha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.