Kwa mara ya kwanza ninaweza kulishinda baraza la mitihani NACTE mahakamani.
Nia ya mashataka yangu ni kutaka Mahakama kuu iruhusu mitihani yangu kusainishwa Upya kuupita Externa examiner.
Sababu kuu
Mtihani niliujibu vizuri tu maana ni mmoja kati niliopata mitihani. lakini nimeletewa D...
moja ya gazeti hapa nchini limedai Baba Mzazi wa mgombea wa Chadema jimbo la uzini amemkana mwanawe hadharani.
amedai mwanawe huyo hana uwezo wa kuongoza kwa hivyo asipewe kura kwani hana imani naye.
Nadhani Habari leo ndio limeandika.
my take nadhani Mtoto achane na siasa, maana hata radhi...
Mchezo wenyewe ni huu.
Shule ya Hamamni na Haile salas ,Bembela zipo pua na Mdomo.Ukisema yeye anakusikia.
Shule hizi mbili hazipugui wanafunzi 500 kila moja.
Hamamni asilimia 90 wamezuiwa matokeo kwa kisingio cha kuiba mtihani.
Haile hakuna aliezuliwa hata mmoja isipokuwa zimetawala F na D...
Akishukuru kwa nishani aliyotunukiwa na heshima aliyopewa, Simbakalia alisema wakati akija
Kigoma kutumikia nafasi yake ya ukuu wa mkoa, hakuwaza kama siku moja atatunukiwa heshima hiyo kubwa katika kanisa(NA SIO SEREKALI)
HAPA UNASEMAJE?
Nafikiria serekali iakte mirija yote inayoelekea makanisani. Kwani isipofanya hivyo taifa litaangamia. Kama bugando hopsital ya kanisa inagoma kwa kuwa rais aliepo madarakani ni muislam. Nchi imeisha
Alhaj Aboud Jumbe, Rais mstaafu wa Zanzibar, ametoa hoja kuonyesha kuwa Waislamu hawatendewi haki na kwamba Kanisa Katoliki limepewa fursa ya pekee nchini.
Sehemu katika kitabu chake inasema: MTIRIRIKO wa matukio ya kisiasa unaashiria agenda ya siri ambayo inaelekezwa kutumikia Kanisa Katoliki...
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict wa XVI amemtunuku nishani ya Mtakatifu Gregory Mkuu, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia kwa utumishi uliotukuka kwa kanisa (KULITUMIKIA KANISA NA SIO JAMII)
Akishukuru kwa nishani aliyotunukiwa na heshima aliyopewa, Simbakalia alisema wakati akija
Kigoma kutumikia nafasi yake ya ukuu wa mkoa, hakuwaza kama siku moja atatunukiwa heshima hiyo kubwa katika kanisa(NA SIO SEREKALI)
MwanaHALISI limegundua kuwa miongoni mwa yaliyodanganywa ni kuhusu umiliki wa mtandao mashuhuri nchini wa Jamii Forum (JF).Inaelezwa kwamba ripoti ya Mukama inautaja mtandao wa Jamii Forum kuwa unaundwa na vijana kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict wa XVI amemtunuku nishani ya Mtakatifu Gregory Mkuu, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia kwa utumishi uliotukuka kwa kanisa (KULITUMIKIA KANISA NA SIO JAMII)
Nishani hiyo ilikabidhiwa kwa Simbakalia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwa...
lOWASA ATOKE HADHARANI AWAOMBE RADHI KWA KUFUNGA MKATABA WA MOU. MKATABA HUU NDIO UNAOFANYA WAKIRISTO KUWA NA VYUO VIKUU VINGI. KABLA YA MKATABA HUU WAKIRISTO WALIKUWA HAWANA HATA KACHUO KAMOJA. MKATABA HUOYA NDIO UNAOFANYA WAISLAM KUWAPIGIA WAKIRISTO MAGOTI KIELIMU NA KIAF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.