Kwa mara ya kwanza napanga kulishtaki baraza la mtihani ( necta) mahakamani

sisi kwa sisi

Senior Member
Feb 1, 2012
119
2
Kwa mara ya kwanza ninaweza kulishinda baraza la mitihani NACTE mahakamani.
Nia ya mashataka yangu ni kutaka Mahakama kuu iruhusu mitihani yangu kusainishwa Upya kuupita Externa examiner.

Sababu kuu

Mtihani niliujibu vizuri tu maana ni mmoja kati niliopata mitihani. lakini nimeletewa D.
Mtihani wa math ambao niliufanya kama inavyotakiwa kwa kujiamini hasa ukizingatia nililala nao , lkn pia nimepewa F. halikadhalika kiswahili na GEO hizo nimegaiwa F. mtihani wa ENG nimegaiwa C.
kwa bahati mimi sio miongoni mwa waliofutiwa au Kupigwa W.I

Hapa naamini nimefanya ndivyo, nilitegemea kupata Div 1 au kufutiwa matokeo moja kwa moja. lkn sikubaliani na matokeo haya walioniltea

Au wanipe ufafanuzi zaidi Forumular gabi wametumia
 
inachekesha af inahuzunisha ndio mwanzo wa kuwa na viongozi vihiyo.sa ulipataje majibu cc kwa cc huogope hata muumba wako.
 
Bwana mdogo inaonyesha haukuwa serious na masomo.Ishara ya hili ni kushindwa kwako kutofautisha NECTA na NACTE.
NACTE ni baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi inayosimamia vyuo vya Elimu ya Juu visivyo Vyuo Vikuu.
 
Kwa mara ya kwanza ninaweza kulishinda baraza la mitihani NACTE mahakamani.
Nia ya mashataka yangu ni kutaka Mahakama kuu iruhusu mitihani yangu kusainishwa Upya kuupita Externa examiner.
Sababu kuuu.
Mtihani niliujibu vizuri tu maana ni mmoja kati niliopata mitihani. lakini nimeletewa D.
Mtihani wa math ambao niliufanya kama inavyotakiwa kwa kujiamini hasa ukizingatia nililala nao , lkn pia nimepewa F.
halikadhalika kiswahili na GEO hizo nimegaiwa F.
mtihani wa ENG nimegaiwa C.
kwa bahati mimi sio miongoni mwa waliofutiwa au Kupigwa W.
I
Hapa naamini nimefanya ndivyo, nilitegemea kupata Div 1 au kufutiwa matokeo moja kwa moja. lkn sikubaliani na matokeo haya walioniltea
Au wanipe ufafanuzi zaidi Forumular gabi wametumia
Kabla hujaanza safari ya kuelekea huko unakokwenda kufungua kesi, hakikisha kuwa umeamka usingizini full ili waweze kuielewa kesi yako hao watakaohusika kufungua jalada. Kila la heri
 
Naombeni niulize swali la kisheria kidogo. Mtahiniwa hajakamatwa na evidence yoyote kwamba aliiba mtihani, ila baraza la mitihani likamfutia matokeo kwa kigezo cha mantiki (logic) kwamba yeye mtahiniwa baadhi ya majibu yalifanana na ya wenzake na wote waliandika jibu wakakosa, tena waliandika jibu ambalo katika multiple choice, halikuwa moja ya options.

Mfano, swali lilitaka uchague kati ya A, B, C au D, lakini darasa zima likaandika O, logically kuna utata kuwa hawa walionyeshana majibu. Swali langu ni hili, baraza la mitihani lina uwezo wa kisheria kuwafutia matokeo wanafunzi hawa licha ya ukweli kwamba hakuna mwanafunzi hata mmoja aliyekamatwa akimuonyesha mwenzake?
 
Wewe mtoto jipange upya,usisingizie baraza,yaani wewe masomo manne yote makers wanakukosesha kwani wanabifu nawe? Ushauri dont waste time and resources jipange vizur urudie mtihani.
 
Mbona kuna utaratibu wa ku appeal kama unahisi haujatendewa haki ?
Hakuna ushindi wa mezani kijana ...
 
unazani ulisaishwa math na kiswahili na mtu mmoja
wewe fanya mipango mingine hacha ubabe..
Ulipopita mtiania wa form 2 bila kurudishwa nyuma pamoja na wastani wako kidogo ukajisifu.
 
Kwa mara ya kwanza ninaweza kulishinda baraza la mitihani NACTE mahakamani.
Nia ya mashataka yangu ni kutaka Mahakama kuu iruhusu mitihani yangu kusainishwa Upya kuupita Externa examiner.
Sababu kuuu.
Mtihani niliujibu vizuri tu maana ni mmoja kati niliopata mitihani. lakini nimeletewa D.
Mtihani wa math ambao niliufanya kama inavyotakiwa kwa kujiamini hasa ukizingatia nililala nao , lkn pia nimepewa F.
halikadhalika kiswahili na GEO hizo nimegaiwa F.
mtihani wa ENG nimegaiwa C.
kwa bahati mimi sio miongoni mwa waliofutiwa au Kupigwa W.
I
Hapa naamini nimefanya ndivyo, nilitegemea kupata Div 1 au kufutiwa matokeo moja kwa moja. lkn sikubaliani na matokeo haya walioniltea
Au wanipe ufafanuzi zaidi Forumular gabi wametumia

vipi huko UZINI mchakato upoje?, bado mzee anasisitiza mwanaye ha uwezo wa kuongoza?

:focus:
umesahau yule mzee aliyemfuata mwalimu mkuu kumuuliza imekuwaje wanaye kafaulu darasa la saba wakati hajui ata kuandika jina lake?
 
Back
Top Bottom