sisi kwa sisi
Senior Member
- Feb 1, 2012
- 119
- 2
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict wa XVI amemtunuku nishani ya Mtakatifu Gregory Mkuu, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia kwa utumishi uliotukuka kwa kanisa (KULITUMIKIA KANISA NA SIO JAMII)
Nishani hiyo ilikabidhiwa kwa Simbakalia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwa karibu miaka sita, na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma, Protas Rugambwa kwa niaba ya Papa katika misa ya Ibada ya Krismasi iliyofanyika kwenye Kanisa la Bikira Maria mshindaji mjini Kigoma
Akisoma hati hiyo, Katibu wa Kanisa hilo Jimbo la Kigoma, Kiliani Teleba alisema anamtangaza Joseph Simbakalia kutoka Jimbo la Kigoma kuwa shujaa wa ukoo bora wa
Mtakatifu Gregory Mkuu wa Daraja la Kiraia na kumpatia uwezo wa kutumia haki zote zinazotokana na hadhi hiyo.
Akishukuru kwa nishani aliyotunukiwa na heshima aliyopewa, Simbakalia alisema wakati akija
Kigoma kutumikia nafasi yake ya ukuu wa mkoa, hakuwaza kama siku moja atatunukiwa heshima hiyo kubwa katika kanisa(NA SIO SEREKALI)
MGOGORO WA SHULE YA NDANDA NA MAJIBU YA MKUU WA MKOA
MGOGORO wa kidini uliosababisha wanafunzi 20 kufukuzwa shule ya sekondari ya wavulana Ndanda, (Ndanda High School) wilayani Masasi mkoani Mtwara umechukua sura mpya baada ya agizo la serikali la kutaka wanafunzi hao kurejeshwa shuleni kugonga mwamba.
Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia akihojiwa na TBC leo (Febuari, 6, 2012) alisema ni wanafunzi watatu tu waliorejeshwa shuleni ambao rufaa zao zilisikilizwa.
Ni kweli serikali iliagiza kurejeshwa kwa wanafunzi hao kwa kufuata utaratibu ambao ulitaka wazai kukata rufaa na kuniletea kwa ajili ya kusikilizwa upya madai yao kasha kutengua maamuzi…ni wanafunzi watatu tu waliofanya hivyo" alisema Simbakalia
HAPA WAISLAM WATEGEMEE NINI KATIKA MGOGORO HUUU HASA UKIZINGATIA AHADI ALIEWEKA MKUU WA MKOA SIKU YA KUKABIDHIWA NISHANI NA KANISA KATOLIKI NCHINI?NA SHULE YA NDANDA NAYO NI YA KANISA KATOLIKI
Nishani hiyo ilikabidhiwa kwa Simbakalia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwa karibu miaka sita, na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma, Protas Rugambwa kwa niaba ya Papa katika misa ya Ibada ya Krismasi iliyofanyika kwenye Kanisa la Bikira Maria mshindaji mjini Kigoma
Akisoma hati hiyo, Katibu wa Kanisa hilo Jimbo la Kigoma, Kiliani Teleba alisema anamtangaza Joseph Simbakalia kutoka Jimbo la Kigoma kuwa shujaa wa ukoo bora wa
Mtakatifu Gregory Mkuu wa Daraja la Kiraia na kumpatia uwezo wa kutumia haki zote zinazotokana na hadhi hiyo.
Akishukuru kwa nishani aliyotunukiwa na heshima aliyopewa, Simbakalia alisema wakati akija
Kigoma kutumikia nafasi yake ya ukuu wa mkoa, hakuwaza kama siku moja atatunukiwa heshima hiyo kubwa katika kanisa(NA SIO SEREKALI)
MGOGORO WA SHULE YA NDANDA NA MAJIBU YA MKUU WA MKOA
MGOGORO wa kidini uliosababisha wanafunzi 20 kufukuzwa shule ya sekondari ya wavulana Ndanda, (Ndanda High School) wilayani Masasi mkoani Mtwara umechukua sura mpya baada ya agizo la serikali la kutaka wanafunzi hao kurejeshwa shuleni kugonga mwamba.
Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia akihojiwa na TBC leo (Febuari, 6, 2012) alisema ni wanafunzi watatu tu waliorejeshwa shuleni ambao rufaa zao zilisikilizwa.
Ni kweli serikali iliagiza kurejeshwa kwa wanafunzi hao kwa kufuata utaratibu ambao ulitaka wazai kukata rufaa na kuniletea kwa ajili ya kusikilizwa upya madai yao kasha kutengua maamuzi…ni wanafunzi watatu tu waliofanya hivyo" alisema Simbakalia
HAPA WAISLAM WATEGEMEE NINI KATIKA MGOGORO HUUU HASA UKIZINGATIA AHADI ALIEWEKA MKUU WA MKOA SIKU YA KUKABIDHIWA NISHANI NA KANISA KATOLIKI NCHINI?NA SHULE YA NDANDA NAYO NI YA KANISA KATOLIKI