Katka mwil wa binadamu kuna sehem moja ambayo ina maji mengi naomba mnitajie, mchungaj aliuliza kwa waumin wake ,waumin wakaguna .mchungaj alipoona kimya aliamua kutoa jib mwenyewe na jib lake ni @mdomo:je ungekuwa wewe ungejib nin?
Nimekaa boarding miaka minne bila kufanya mapenzi; nilipomaliza form 4 nikarudi zangu home mara nikawa na mahusiano na msichana mmoja. Siku yangu ya kwanza kufanya naye mapenzi nilishindwa kwani nilipoanza kumchezea nikajikuta nimelowa mwenyewe kabla sija swich on machine.
Je, hili ni tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.