Katka mwil wa binadamu kuna sehem moja ambayo ina maji mengi naomba mnitajie, mchungaj aliuliza kwa waumin wake ,waumin wakaguna .mchungaj alipoona kimya aliamua kutoa jib mwenyewe na jib lake ni @mdomo:je ungekuwa wewe ungejib nin?
Mchungaji ataanzaje kuuliza swali hilo?