Search results

  1. Tukuza hospitality

    Uzinduzi wa awamu ya 3 wa Shindano la Stories of Change

    Napenda kuwapongeza washindi watano wa msimu huu wa 2023 kupitia makala zifuatazo: I. Namna ya kupanga malengo ya fedha kukusanya (TRA) ili kuwe uwajibikaji, sio kila mwaka wanatuambia wamevuka lengo, kwa kujiwekea malengi madogo. Mshindi wa I. TZS 5,000,000.00 II. Kitambulisho cha Taiga...
  2. Tukuza hospitality

    Uzinduzi wa awamu ya 3 wa Shindano la Stories of Change

    Napenda kuwapongeza washindi watano wa msimu huu wa 2023 kupitia makala zifuatazo: I. Namna ya kupanga malengo ya fedha kukusanya (TRA) ili kuwe uwajibikaji, sio kila mwaka wanatuambia wamevuka lengo, kwa kujiwekea malengi madogo. Mshindi wa I. II. Kitambulisho cha Taiga kiboreshwe ili kiendane...
  3. Tukuza hospitality

    Uzinduzi wa awamu ya 3 wa Shindano la Stories of Change

    Napenda kuwapongeza washindi watano wa msimu huu wa 2023 kupitia makala zifuatazo: I. Namna ya kupanga malengo ya fedha kukusanya (TRA) ili kuwe uwajibikaji, sio kila mwaka wanatuambia wamevuka lengo, kwa kujiwekea malengi madogo. Mshindi wa I. II. Kitambulisho cha Taiga kiboreshwe ili kiendane...
  4. Tukuza hospitality

    SoC03 Mtanzania afutiwe Kodi za Ardhi na Majengo

    Toka niandike makala hii, mwezi bado haujaisha, lakini serikali imeshapandisha kiwango cha kodi ya majengo! Nilikuwa naweka umeme jana, nikashangaa kuona nimekatwa Sh 1500.00 kwa ajili ya kodi ya majengo, badala ya Sh 1000. Kodi ya majengo kwa majengo ya kawaida ilikuwa Sh 1000 kwa kila mwezi...
  5. Tukuza hospitality

    SoC03 Serikali iboreshe usafiri wa anga Ili kupanua wigo wa usafiri na usafirishaji nchini

    Kwa watu wengi hapa Tanzania, usafiri wa anga ni kama anasa!!
  6. Tukuza hospitality

    SoC03 Walimu wa shule binafsi wawe na hadhi sawa na wale wa shule za serikali

    Ni kweli, maadamu wote hawa wamesoma katika viwango sawa.
  7. Tukuza hospitality

    SoC03 Tatizo la ajira laweza kuisha na kubaki kuwa historia Tanzania

    Waafrika wanadanganyika na fursa za ajira Marekani na Ulaya bila kujua wanajenga nchi hizo kwa rasilimali za Afrika.
  8. Tukuza hospitality

    SoC03 Sote Tuwajibike Kutokomeza Ushoga na Usagaji Tanzania

    Baadhi ya madhehebu ya kidini katika nchi za Magharibu yanatetea Ushoga! Hii ni changamoto kubwa kwa waumini wao katika nchi za Afrika ambako vitendo hivi vinapingwa vikali.
  9. Tukuza hospitality

    SoC03 Bayogesi Itumike katika Taasisi za Umma, kupunguza hewa ya ukaa

    Niliwahi kufanya kazi katika shirika moja la maendeleo, moja ya kazi tulioifanya ni kuwezesha wanufaika kujenga mitambo ya bayogesi. Hapo ndipo niligundua kuwa ni nishati nzuri sana, ya bei nafuu na rafiki mkubwa wa mazingira.
  10. Tukuza hospitality

    SoC03 Utamaduni wa Kujiuzulu ni Uungwana na Njia Bora ya Uwajibikaji

    Kuachia madaraka pale unapoona mambo hayaendi vyema, ni kujitengenezea heshima ya kudumu.
  11. Tukuza hospitality

    SoC03 Tatizo la ajira laweza kuisha na kubaki kuwa historia Tanzania

    Njia bora ya kuongeza ajira ni kuboresha na kurasimisha shughuli za za wafanyabiashara/wjasiriamali wadogowadogo.
  12. Tukuza hospitality

    SoC03 Serikali Iwalinde Wafanyabiashara na Wajasiriamali Wadogo Nchini Tanzania

    Serikali inahitaji kuweka sera nzuri na bajeti kidogo kuwezesha wafanyabiashara ndogondogo, na kutarajia makubwa zaidi.
  13. Tukuza hospitality

    SoC03 Sote Tuwajibike Kutokomeza Ushoga na Usagaji Tanzania

    Watoto wanatakiwa kujengewa ujasiri wa kusema kuhusu matukio haya ya ushoga, maana mambo haya wanafanyiwa watoto na watu wao wa karibu sana (hata Baba mzazi).
  14. Tukuza hospitality

    SoC03 Serikali za Mitaa Ziimarishwe Ili Kuharakisha Maendeleo ya Wananchi

    Serikali za mitaa zitaimarika zaidi, endapo serikali za majimbo zitaundwa.
  15. Tukuza hospitality

    SoC03 Mtanzania afutiwe Kodi za Ardhi na Majengo

    Katika ardhi, kuna biashara nyingi za kimkakati (kama viwanda vikubwa, migodi, biashara utalii, viwanja vya ndege, viwanja vikubwa vya michezo, nk.) ambayo inaweza kuipatia serikali mapato ya kutosha, na hivyo kuondoa ulazima wa kutegemea kodi za ardhi na majengo kwa wakazi wa kawaida.
  16. Tukuza hospitality

    SoC03 Rasilimali zetu ziwe Neema, na si laana kwa Watanzania

    Kuna haja ya kuwekeza zaidi kwenye rasilimaliwatu, watu wapitishwe kwenye historia yetu, na kutizamishwa katika vizazi vingi vijavyo kuhusiana na rasilimali hizi tulizojaliwa. Tunahitaji wawekezaji kutoka nje ya nchi, lakini ni lazima tuwe na mikataba inayozingatia masilahi ya pande zote, na...
  17. Tukuza hospitality

    SoC03 Hospitali Hazipaswi kuwa na Upungufu wa Damu Salama

    Njia bora ya kupata damu kwa njia endelevu, ni kusimamia lishe kwenye taasisi za umma (mashule, vyuo, makambi ya jeshi). Hii ni rasilimali kubwa sana ya kuchangia damu.
  18. Tukuza hospitality

    SoC03 Ugonjwa wa Shinikizo la Damu ni wa Wote Sasa, Tuwajibike Kuudhibiti

    Kuna haja wataalamu wa lishe kufikisha elimu ya lishe bora kila mtaa/kijiji, maana lishe duni na ulaji hovyo ndio sababu kuu ya maradhi kama ya shinikizo la juu la damu.
  19. Tukuza hospitality

    SoC03 Kila mmoja awajibike kutokomeza ufisadi nchini

    Kama mifumo haijakaa sawa, hata watu wanaosadikika kuwa ni waadilifu sana, watatumbukia kwenye mtego wa kula rushwa! Nchi zilizofanikiwa kupunguza kiwango cha rushwa, sii kwamba watu wake ni waadilifu sana, bali mifumo imara ya uwajibikaji imetengenezwa.
  20. Tukuza hospitality

    SoC03 UKIMWI Bado ni Tishio, Tukuchukue Tahadhari

    Nchi ilitegemea sana misaada kutoka nje kwa muda mrefu kwa ajili ya kupambana na VVU/UKIMWI, imefika wakati ambao wafadhili wana vipaumbele vingi vinavyoshindana, na hivyo kupunguza misaada kama hiyo; ni wakati muafaka kutafuta vyanzo vya ndani na kuacha kutegemea misaada kutoka nje ya nchi.
Back
Top Bottom