hotel za Serengeti zipo za USD 1200 kwa siku hivyo hata mtu wa kawaida ukiamua kwenda kupumzika huko lazima ujiandae kwa 5m na kuendelea iwapo utalala hotel za aina hiyo. swala la kushangaa hizo garama ni swala la ushamba tu wa mtu kutojua garama za hotel za serengeti. kwa wale waliyowahi kuja...
usiache kazi pambana humu ndani kuondoa huo mfumo unadai unanyima haki. lakini kama umekwazika sana omba likizo ya dharura ili utafakari na kuomba ushauri kwa watu makini. uhakika wa fedha kila mwezi hata kama ni kidogo ni bora kuliko bahati nasibu ya mtaani. labda kama umeshakuwa na mradi ukiwa...
Monduli Lowassa ana changamoto kubwa ya kumnadi mgombea wa Ukawa wakati wa CCM naye kamweka yeye na ndiye Mlezi wa familia ile ya Sokoine. Hebu tujionee
Sijaona bado propaganda za ukabila baada ya tafsiri. Mzee wa kwanza ameuliza swali ilikuwa tu ajibiwe na aeleweshwe kuwa wachaga wale ni chaguo la wananchi wa arusha. Sasa hapa bado sijaona medeye anaingiaje kama mkabila?
"mkuu umejenga hoja makini na za msingi watu wajadili au kukosoa kwa Hoja makini pia" but with time ukweli utajulikana tutajua nani mkweli kuhusu utaratibu wa kufukuza viongozi ndani ya Chama'
1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani...
There is no best leader in Chadema than Mbowe. kama yupo nitajieni? so Chadema hamna namna wanaweza kusonga mbele kwa sasa bila Mbowe. ! "Chadema Bila Mbowe haiwezekani"
Wabongo tubadilike na siasa za kupakana matope tujifunze kenya hakuna mgombea au mpambe wa mgombea aliyemsema mgombea mwenzake. Wote walizungumzia wataifanyia nini kenya upande wa ardhi, uchumi, ajira n.k. Kwa hiyo lowasa hata akiwa na sifa hizo ulizoleta kama ana uwezo wa kuibadili tanzania...
tume huru inawajibika kwa nani? I mean nani anawalipa mishahara marupurupu etc? Je hawawezi kuwa biased? Na kupendelea upande wanakopatia masilahi yao?
Tanzania kwanza yangetokea ya kenya silaa angekuwa ameshasema ccm wana njama. Wapinzani wa tanzania hawawezi kukubali kuwa mtambo umekorofisha hata kidogo. Tanzania watu hawajakomaa kisiasa hata huyo anayehoji eti mtambo utaanzia telcom company sasa anataka uaanzie wapi lazima iwe mamlaka ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.