uzuri wa udaktari ni kwamba unsaidia watu tu.
ila kiukweli hakuna program ya ajabu kama hiyo kuanzia kwenye mzingira ya kazi na majukumu yake pia serikali hajatoa motisha za kutosha katka hiyo kada japo inafanya kazi nzito na yenye changamoto nyingi lakini pia kwenye kujiajiri ina tija lakini...
dogo una wazo zuri la kujiendeleza ila nakuomba usijidanganye kusoma form 5&6 tena PCB. achana kabisa na hilo wazo litakuja kukugharimu sana .
kama lengo lako n kuwa md nenda kasome CO utajiendeleza ukihitimu na usiende kupambana na PCB .
nakuasa huyo jamaa anayeitwa PCB siyo rafiki mzuri sana...
Kwa hesabu ya haraka ukienda kusoma md utasoma kwa miaka 5.
Kwa ghara ya ada 6.5mn kwa mwaka ,miaka 5 utatumia 35mn kama ada kujumlisha na hela ya pango na meal nadhani utamaliza masomo umetumia 60 hadi 70 tuchukulie unasoma KAIRuki.
Sasa hapo utatumia mda mwingi na hela nyingi tofauti na law...
Ikitokea ajira kati ya sheria na daktari wakaajiriwa pamoja n yupi ambaye atakuwa na mafanikio katika nyanja ya uchumi na maendeleo kiujumla maana naona hizi fani 2 watu tunashindwa kuzielewa ipi n bora ya nyenzie
Karibuni.
Ngazi za graduates
Career na swala la kiuchumi zaidi kwa sababu ili ujiajiri kwenye afya gazi ya kituo cha afya mtaji c chini ya 50m
. Tofauti na law mtaji ni kidogo sana
Huu n uwanja wa kushauriana n kozi ipi ambayo n nzuri kuanzia kuajiriwa hadi kujiajiri mkuu ila afya hapana nimeitumikia nimetosha.
Nahitaji kwenda kwenye field nyingine
Lakini ebu tushauriane kidogo wadau mm kuna kitu kinanichanganya kabisa .
Kwa mwajiriwa wa serikalini tamisemi akisoma BACHELOR OF law haiwezi kumlipa ?
Anahama idara kutoka afya kwenda sheria .
Sababu za kufanya hivyo n kwa sababu kujiendeleza katika fani ya udaktari n gharama kubwa sana kwenye...
Ahsante sana kwa ushauri japo sijajua kwa nn wadau wanaichukia sana law wakati inawezekana kujisajili kwa kupitia law ambapo haihitaji mtaji mkubwa kama afya kwa sababu ili ujiri kwenye medicine mfano kufungua zahanati ama kituo cha afya unahitaji mtaji kuanzia 20mln ambapo law unaweza kujiajiri...
Kwa nn isiwe law kuna changamoto gani kwenye field of law ebu tuambizane wadau.
Ikumbukwe katika maisha yangu ndoto ilikuwa kusoma law ila niliingia afya kwa sababu ya changamoto ya ajira katika law na uchumi pia sasa najiweza kiuchumi nimeamua kuhamia kwenye family of law japo fan ya medicine...
Wana jf nahitaji ushauri wenu hususani waliopitia programu of law shahada ya kwanza na wengine wenye uelewa juu ya hili swala nahitaji ushauri wenu.
Mm n afisa tabibu(CO) kitaaluma nimefanikiwa serikalini natarajia kwenda masomoni kwa kozi ya bachelor of law je soko likoje pia natarajia kuhama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.