Bachelor of law and its marketability

shashula

Member
Feb 21, 2022
65
26
Wana jf nahitaji ushauri wenu hususani waliopitia programu of law shahada ya kwanza na wengine wenye uelewa juu ya hili swala nahitaji ushauri wenu.

Mm n afisa tabibu(CO) kitaaluma nimefanikiwa serikalini natarajia kwenda masomoni kwa kozi ya bachelor of law je soko likoje pia natarajia kuhama idara ya afya nitakapohitim masomo yangu niwe sheria ila nakumbana na maneno mengi.

Wengine wanasema bali afya kwa sababu huwezi kufanyiwa recategorization kutoka afya kwenda sheria,mara sheria watu wamejaa siyo rahisi kupata nafasi japo mimi binafsi naona hata nisipofanyiwa recategorization naweza kuiaoply me as me.

Soko likoje kwa wenye uelewa na hii kitu
 
Wana jf nahitaji ushauri wenu hususani waliopitia programu of law shahada ya kwanza na wengine wenye uelewa juu ya hili swala nahitaji ushauri wenu.

Mm n afisa tabibu(CO) kitaaluma nimefanikiwa serikalini natarajia kwenda masomoni kwa kozi ya bachelor of law je soko likoje pia natarajia kuhama idara ya afya nitakapohitim masomo yangu niwe sheria ila nakumbana na maneno mengi.

Wengine wanasema bali afya kwa sababu huwezi kufanyiwa recategorization kutoka afya kwenda sheria,mara sheria watu wamejaa siyo rahisi kupata nafasi japo mimi binafsi naona hata nisipofanyiwa recategorization naweza kuiaoply me as me.

Soko likoje kwa wenye uelewa na hii kitu
Usisome kozi kwa ajili ya soko, soma kozi kwa ajili ya mapenzi yako juu ya hiyo taaluma.

Tunaanza kwanza kufanya kazi ndio tupate pesa, hatuanzi kutafuta pesa ndio tufanye kazi. Wewe kama dokta, ukisikia mtu amevunjika mbavu analia maumivu na yupo ofisini kwako utaanza kutaka kuona risiti za malipo ya matibabu au utataka umhudumie apone kutoka maumivu? Furaha yako kwanza ni ipi, kumtibu au kupata fedha?

Sasa, kwenye taaluma yoyote ile kipaumbele ni kuifanyia kazi taaluma hiyo, ukifanya kazi pesa itakuja tu, usilenge pesa kabla ya taaluma
 
Wana jf nahitaji ushauri wenu hususani waliopitia programu of law shahada ya kwanza na wengine wenye uelewa juu ya hili swala nahitaji ushauri wenu.

Mm n afisa tabibu(CO) kitaaluma nimefanikiwa serikalini natarajia kwenda masomoni kwa kozi ya bachelor of law je soko likoje pia natarajia kuhama idara ya afya nitakapohitim masomo yangu niwe sheria ila nakumbana na maneno mengi.

Wengine wanasema bali afya kwa sababu huwezi kufanyiwa recategorization kutoka afya kwenda sheria,mara sheria watu wamejaa siyo rahisi kupata nafasi japo mimi binafsi naona hata nisipofanyiwa recategorization naweza kuiaoply me as me.

Soko likoje kwa wenye uelewa na hii kitu
Kaa tulia fanya kazi yako ya utabibu, cha msingi kajiendeleze kwenye fani yako.
 
Kwa nn isiwe law kuna changamoto gani kwenye field of law ebu tuambizane wadau.
Ikumbukwe katika maisha yangu ndoto ilikuwa kusoma law ila niliingia afya kwa sababu ya changamoto ya ajira katika law na uchumi pia sasa najiweza kiuchumi nimeamua kuhamia kwenye family of law japo fan ya medicine nitaitumikia daima
 
Wana jf nahitaji ushauri wenu hususani waliopitia programu of law shahada ya kwanza na wengine wenye uelewa juu ya hili swala nahitaji ushauri wenu.

Mm n afisa tabibu(CO) kitaaluma nimefanikiwa serikalini natarajia kwenda masomoni kwa kozi ya bachelor of law je soko likoje pia natarajia kuhama idara ya afya nitakapohitim masomo yangu niwe sheria ila nakumbana na maneno mengi.

Wengine wanasema bali afya kwa sababu huwezi kufanyiwa recategorization kutoka afya kwenda sheria,mara sheria watu wamejaa siyo rahisi kupata nafasi japo mimi binafsi naona hata nisipofanyiwa recategorization naweza kuiaoply me as me.

Soko likoje kwa wenye uelewa na hii kitu
Ni hivi ndugu yangu.

Kama upo serikalini. Zingatia haya.

1_ Ukifanyiwa recategorization ni kwamba unaanzia daraja la chini kabisa. (Mfano ww umedumu hapo kwa 3 yrs unasubir 1 yr maybe upande cheo ukifanyiw rec means unarudi upya mpk ufanye tena 3-4 yrs ndio upande.

2_ Utalazimika kusoma upya

3_Hata ukisoma Sheria na ukabak huko ktk Afya haitakusaidia kitu utakuwa umepoteza muda (kwanini?) Ukitaka kupanda ngazi ya principal lazima usome masters inayoendana na fani yako au post yako na si vinginevyo.


Mwisho SHERIA sio nzuri kuisoma kutokana na Scheme ya Serikalini. Why?

Ww ukimaliza miaka yako let's say 4. Ya degree itakulazimu uende ukasome Law school ambapo napo ni kimbembe kule hivyo kuanzia leo mpaka miaka 6 mbele na kuendelea utakuwa unapambania hiyo kazi ya kijinga.

Then, ukipata mhuri na kila kitu ukifanyiwa rec unaanzia daraja la chini........ kabisa.

Ambapo mshahara unaweza kuta ni ule ule au ww kwa Cheo chako muda huo umezidi mshahara na cheo (Ngazi/Daraja).

Jitafakari
 
Ahsante sana kwa ushauri japo sijajua kwa nn wadau wanaichukia sana law wakati inawezekana kujisajili kwa kupitia law ambapo haihitaji mtaji mkubwa kama afya kwa sababu ili ujiri kwenye medicine mfano kufungua zahanati ama kituo cha afya unahitaji mtaji kuanzia 20mln ambapo law unaweza kujiajiri kwa mtaji mdogo sana
 
Nadhani tunaweza kua na mawazo sawa, sema wananzengo wana mengi napenda kusoma sheria sema changamoto ni kama izo hapo
 
Develop career yako,mzee.... fanya M.D... chukua Masters yake nakuendelea.... uje uwe super specialist.Achana na law,ipotezee hasa ukizingatia sababu walizotoa baadhi ya wadau hapo juu.
 
Develop career yako,mzee.... fanya M.D... chukua Masters yake nakuendelea.... uje uwe super specialist.Achana na law,ipotezee hasa ukizingatia sababu walizotoa baadhi ya wadau hapo juu.
Kwa hesabu ya haraka ukienda kusoma md utasoma kwa miaka 5.
Kwa ghara ya ada 6.5mn kwa mwaka ,miaka 5 utatumia 35mn kama ada kujumlisha na hela ya pango na meal nadhani utamaliza masomo umetumia 60 hadi 70 tuchukulie unasoma KAIRuki.
Sasa hapo utatumia mda mwingi na hela nyingi tofauti na law ada yake inalipika lakini pia kazi za medicine ni risk sana tofauti na law ambayo ina maslahi makubwa kuliko udaktari
 
Kwa hesabu ya haraka ukienda kusoma md utasoma kwa miaka 5.
Kwa ghara ya ada 6.5mn kwa mwaka ,miaka 5 utatumia 35mn kama ada kujumlisha na hela ya pango na meal nadhani utamaliza masomo umetumia 60 hadi 70 tuchukulie unasoma KAIRuki.
Sasa hapo utatumia mda mwingi na hela nyingi tofauti na law ada yake inalipika lakini pia kazi za medicine ni risk sana tofauti na law ambayo ina maslahi makubwa kuliko udaktari
Aisee acha kusumbua watu,nenda hio law unayoitaka.
 
Ahsante sana kwa ushauri japo sijajua kwa nn wadau wanaichukia sana law wakati inawezekana kujisajili kwa kupitia law ambapo haihitaji mtaji mkubwa kama afya kwa sababu ili ujiri kwenye medicine mfano kufungua zahanati ama kituo cha afya unahitaji mtaji kuanzia 20mln ambapo law unaweza kujiajiri kwa mtaji mdogo sana
Unafikiri ni rahisi kuaminiwa na wateja ukiwa mwanasheria unaweza kuendana na ushindani uliopo fani ktk husika?
Ni rahisi kuaminiwa ukiwa ktk fani ya afya.
 
Wana jf nahitaji ushauri wenu hususani waliopitia programu of law shahada ya kwanza na wengine wenye uelewa juu ya hili swala nahitaji ushauri wenu.

Mm n afisa tabibu(CO) kitaaluma nimefanikiwa serikalini natarajia kwenda masomoni kwa kozi ya bachelor of law je soko likoje pia natarajia kuhama idara ya afya nitakapohitim masomo yangu niwe sheria ila nakumbana na maneno mengi.

Wengine wanasema bali afya kwa sababu huwezi kufanyiwa recategorization kutoka afya kwenda sheria,mara sheria watu wamejaa siyo rahisi kupata nafasi japo mimi binafsi naona hata nisipofanyiwa recategorization naweza kuiaoply me as me.

Soko likoje kwa wenye uelewa na hii kitu
Soma Digrii ya sheria mkuu,
Usirudi nyuma kwenye huo uamuzi.
 
Back
Top Bottom