Search results

  1. K

    Msaada Wa kozi ya Occupational Health and Safety

    Kozi hii halmashauri unaajiriwa kama na ,idara ya mazingira au ya idara ya Afya.
  2. K

    Ipi bora kati ya Bsc in Environmental Health Science na Bsc in Environmental Science and Management

    Naomba unieleweshe mm nataka nikapige environmental health and safety management , nikirudi kazini kwaajili ya Recategorizatio nakuwa Nani ,? Hivi naweza kuwa categorized Kama Nani ,2.Nitabaki TGHS au nitahamia TGS , naomba mwenye uelewa make mm Ni MATT nataka kupiga hii course
  3. K

    Ipi bora kati ya Bsc in Environmental Health Science na Bsc in Environmental Science and Management

    Pia kuna vitu vinachanganya kati ya safaty officers and health officers je safty officer anaweza kuajiriwa kama health officer
  4. K

    Msaada kuhusu kubadili vyeti NACTE

    Hiyo ni full technician certificate haiwezekani
  5. K

    Hakuna nyongeza ya mishahara kwa watumishi mwaka 2023

    Maisha ya mshahara ni ya stress sana ,
  6. K

    Hakuna nyongeza ya mishahara kwa watumishi mwaka 2023

    Nyongeza kweli itakuwa ndogo sana(kiduchu),
  7. K

    Hakuna nyongeza ya mishahara kwa watumishi mwaka 2023

    Nimepita huku na kule naona kwenye bajeti 2023/2024 hakuna nyongeza bali matumizi mengineyo yasiyo ya mshahara hii inamaana hakuna nyongeza mwaka huu.
  8. K

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Naweza kujiunga na Diploma in social work 2yrs kwa sasa na ina UNITS NGAPI
  9. K

    Wafanyakazi waliopo chini ya Hospitali za dini (FBO) wanaolipwa mishahara na serikali

    FBO huwa inaajiri wafanyakazi wake na anawalipa yeye lakin anaweza kuingia ubia na DED akaletewa na wafanyakazi wa serikali lakin FBO anaweza kuwalipa posho kidogo
  10. K

    Mkopo kutoka BancABC Tanzania Limited

    Hakuna aliyewahi kopa kwa hawa Abc Banc akasifia huduma zao ,jaman watumishi wenzangu kaeni macho hawa Wana riba kubwa kati ya 25-35 hayo yooote ni swaga tu eg mm nilichukua 4mils deni likasoma milion 11++++ ,Jaman hawa ni wezi
  11. K

    Msaada wa kisheria: Benki ya CRDB wamenikata mshahara pasipo kunipatia mkopo

    Crdb mikopo kwa watumishi wa umma is not their priority, ndio maana urasimu mwingi sana , Mara 1.mshahara upite kwao 2.makato kabla ya mkopo around 6% 3.penalty for early paymenter 4.kuchelewa kupata mkopo wako 5.mkataba wa mangungo wa msovero -umeegemamia upande mmoja tu wa mkopaji huna...
  12. K

    Loan processing fee

    Unajua hizi % ni kichaka lete loan calculator ili tujisavie ss pia process fee na bima kokotoa hii pia
  13. K

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Ahsante kwa majibu mazuri ipi kati ya 520,000 na 580,000
  14. K

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Hivi mshahara wa TGS C ni shingapi
  15. K

    Mishahara wanayolipwa Viongozi Wakuu nchini Kenya iko wazi, Tanzania hali ikoje?

    Every where across the social media we see and testify showing of teacher's salary scales and nurses,doctors etc!!!!!!! Why wabunge, Marais ,makatibu wakuu,mawazir ,maspika , waweke mishahara hadhara ,kwa nini waogope????
  16. K

    Upatikanaji wa ajira upoje ngazi ya diploma?

    Kwa mm bora nikapiga Dipl. Alaf nikajichanganya kitaa na kupambania ajira, kuliko 2yrs form 5&6 na 3yrs ya degree =5yrs ambayo hata ajira ni ysmkin ila kitaa kazi ni moja tu ya IT degrees ni wengi mno kitaa hata kuliko dipl.
Back
Top Bottom