Habar wanajamii,
Kwa mwenye ufahamu wa sheria inayohusiana na Financial guarantor, kwa mtu ambaye tayar amesha ajiriwa na tayar alisha saini mkataba wa kudumu wa kudumu kwa takrbani miaka zaidi ya minne, kisha mwajili akatoa Financial guarantor ukamilishe ndani ya siku tisa, pia fomu hiyo ina...
Habari wanajamii, naomba kuuliza mahali napoweza kujifunza SAP accounting software kwa Dar es salaam,nataka kujifunza pamoja na kufanya mitihani yake ili niweze kupata Cheti chake
Habari wanajamii, nina laptop yangu ya hp pavilion dv5.ilipata matatizo ya power supply.nikaipeleka kwa fundi.akaniambia imekufa motherbody.naombeni kama kuna mtu anaweza akawa na hiyo motherbody. Nimejaribu ku cheki online kwenye ebbay lakini procedure zake ni nyingi.msaada tafadhali.ahsanteni.
Habari wadau! Naombeni msaada wa laptop yangu,kwani haiwaki kwa sasa.ni baada ya kuchomoka ghafla charger(adaptor),then nikichomeka adaptor kwenye laptop inawaka taa tu kwenye tundu la laptop unapochomeka adaptor,then ukiwasha haiwaki.msaada tafadhali.kwani nina documents za muhimu.thanks
habari wanajamii,
naombeni msaada kwa mtu anayejua mahali napoweza kupata battery ya htc yota pamoja na housing yake.nita shukuru kwa msaad a huu wadau.ahsanteni wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.