Habari wanajamii, nina laptop yangu ya hp pavilion dv5.ilipata matatizo ya power supply.nikaipeleka kwa fundi.akaniambia imekufa motherbody.naombeni kama kuna mtu anaweza akawa na hiyo motherbody. Nimejaribu ku cheki online kwenye ebbay lakini procedure zake ni nyingi.msaada tafadhali.ahsanteni.