Nimeshazifanya sana installation za window ila hii imenitoa jasho, mara ya kwanza ilikuwa ina install inafika sehem inatoa error code halafu inagoma kuendelea.
Wadau computer yangu ilikuja na window 8 toka kiwandani sasa nataka kuibadilisha lakini inanisumbua haitaki kutoka, inawaka na kuonesha kwa kuna error wakati wa kuwaka na inaishia hapo haiendelei inataka nifanye recovery lakini nibonyeza key iliyonielekeza hakuna kitu kinaendelea, na baada ya...
Tatizo sio network, tatizo lipo kwa sim ussd inaonekana kuna tatizo, japo kuwa muda mwingine inakubali, operation yeyote yenye ussd series za ussd ni tatizo.
Chief kuna kitu kinanizingua pale ninapotaka kufanya muamala kwenye mitandao yetu, kuna ujumbe una sema something wrong we can not process your request, hilo limekuwa linanisumbua sana hadi mda mwingine natoa line, sasa sijui ni setting ipi niifanye ili isinisumbue.
Habari wadau, nimenunua lumia 532 made in vietnam, lakini inanizingua kuunganisha internet, naomba msaada kwa anayejua setting za kuunganisha internet. Nawasilisha.
Daah mnenikumbusha mbali sana enzi hzo mdete primary 1992-1998 enzi hzo mwalim mkuu marehem s. Nyoni, nikaenda njoss 1999-2002 tukamkuta mkuu wa shule mwanyigu, wengne kama mbabe kasalile, dengeya, ngimba, tyson, komba, mbaya, kwa kifupi njombe ndio home, nakumbuka mambo pilau kwa maulusi pale...
wama ni shule ya first lady ikifadhiliwa na tajiri wa kijapan anaitwa nakayama, hivyo nadhani huo utakuwa ni moja ya ufadhili wake. Hizo tablets zingeanza kupewa st. Kayumba ss kidogo ningestuka.
Habari wadau,
Kuna channel 6 za muvi tv ya zambia nilikuwa nazipata tangu siku nilipofungiwa dish, lakini juzi ilikuja message ikinitaka kuupdate system kwa scanning, baada ya scanning zile channel zote zikatoka, nawezaje kuzirudisha zile channel? Naombeni wadau tupeane maujuzi,
nawasilisha.
Habari wana Jf, mke wangu anatatizo la kuvimba papuchi mara tu baada ya kugegedana, tatizo hli limemuanza hvi karibuni baada ya kupata mimba, hii ni mimba yake ya kwanza hvyo hatuna uzoefu wowote, tunaomba ushauri wenu wataalamu na wazoefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.