Hivi watu wanataka Nato ingie vitani mara ngapi? Tangia mwenzi wa pili mwaka jana Nato iko vitani na Russia imeshindwa kuleta tofauti, Fr, Br, US hawana jipya kwenye hiyo vita walishindwa wangekua nalo wagelileta ili washinde vita, ..... US ina hamu ya kumshinda Russia hata kuliko Ukraini...
Decoration au branding ni sehemu ya mtaji mkuu kuna biashara lazima ufanye rebranding kuendena na biashara yako mada yako haija taja biashara ya aina gani isio hitaji decoration kali.....acha ku generalise mkuu.
Lengo la benki wanakulazimisha ukope tena kwao hiyo tabia ni kawaida sanaa kwa benki za bongo, wanakopesha ili wakufilisi kwa kushindwa kulipa sasa hapo wakutegemea kama utamaliza, hati utapewa ila baada ya kuisotea .
Mkuu kujua hali ya vyuo vya Tanzania sio lazima ibopitie vyote hata kukutana na wanafumzi walio pitia hivyo vyuo inatosha kujua hali ya hivyo vyuo......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.