China wazindua meli kubwa inayotumia umeme kujiendesha

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,752
9,027
Kampuni ya COSCO Shipping, ambayo ni mali ya serikali ya China, imeanzisha meli kubwa zaidi inayoitwa Green Water 01.

Meli hii kubwa, yenye uzito wa zaidi ya tani 10,000, inafanya kazi kwa kutumia umeme pekee. Ina urefu wa mita 119.8, upana wa mita 23.6, na kina cha mita 9. Inaweza kutembe kilomita 19.4 kwa saa (maili 12 kwa saa).

Meli hii inaweka rekodi mbalimbali katika sekta ya bahari, ikiwa ni pamoja na urefu wake, upana, uwezo kubeba tani za mzigo (zaidi ya tani 10,000),

Meli inaendeshwa na betri kubwa yenye nguvu zaidi ya kWh 50,000.

Teknolojia ya umeme kwenye vyombo vya usafiri inazidi kukuwa kasi.

441452197_760795742873741_580961913370054212_n.jpg
 
Kampuni ya COSCO Shipping, ambayo ni mali ya serikali ya China, imeanzisha meli kubwa zaidi inayoitwa Green Water 01.
Meli hii kubwa, yenye uzito wa zaidi ya tani 10,000, inafanya kazi kwa kutumia umeme pekee. Ina urefu wa mita 119.8, upana wa mita 23.6, na kina cha mita 9. Inaweza kutembe kilomita 19.4 kwa saa (maili 12 kwa saa).

Meli hii inaweka rekodi mbalimbali katika sekta ya bahari, ikiwa ni pamoja na urefu wake, upana, uwezo kubeba tani za mzigo (zaidi ya tani 10,000),

Meli inaendeshwa na betri kubwa yenye nguvu zaidi ya kWh 50,000.

Teknolojia ya umeme kwenye vyombo vya usafiri inazidi kukuwa kasi
View attachment 2983392
Kwani inalingana na ya kwetu ya MV mwanza anao enda kuanza kazi hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom