Ndoa haijaribiwi,jambo dogo na utamu wa ngono wa mda mdogo na siku moja,utakuletea matatizo maisha yajo na vizazi vayko vyote vitakavyo fwata.mwambie asijaribu na asifikirie,
Kweli Mkuu,maana ,walijadiliana pasipo kuweka wazi ni yapi ambayo walikuwa wamaeyaongea,kwahiyo ni vema wakatuambia walikubliana mamabo gani na wakuu wa nchi,alafu tujue tunawaunga mkono au lah!
William,Pole,,,.Mi nipo Dodoma Na nina zifahamu nyumba nyingi tuh za wageni,kama ulishindwa kutafuta nyumba za wageni ,usisingizie gharama kubwa,hilo halipo Mkuu,Hivi unavyo kuwa Mbunge hutakiwi kuishi Maisha ya Mtanzania anavyo ishi?Serikali ilijenga nyumba Miatatu eneo la kisasa ili wabunge...
Habari wan JF,miaka ya nyuma niliwahi kulala na binti mmoja ,na tulitumia kondom,ukitazam akwa muda ambao tulikutana nae kimwili ulikuwa mwezi wa pili,hapo hatukuonana tena,nikishangaa mwezi wa tano nikipigiwa cm nakuambiwa hazion siku zake,nikamuuliza tangu lini akasema tangu mwezi wa...
Nimemsikiliza tangu mwanzo lakini hadi kufikia hatua ya kuomba msamaha ni baada ya kuulizwa anajisikiaje na hiyo hali,?huombi hata msamaha,katika uharisia hakuwa na nia y akuomba msamaha.
Tatizo ni fikra hasi zilizopo kwa wananchi zikichangiwa na ufinyu waelimu ya Uraia,ila siku itafika ambayo mambo yatakuja kubadirika na nchi itakuwa ni mpya
Wana JF,mwenzenu nimetafakari nimekosa jibu,maana vyuo ni vingi mno na wengi wanazidi kusoma,sasa wakimaliza hizo elimu,wapi watakwenda?Maana zamani vyo vilikuw avinahesabika ,,,
Hawa jamaa mbona walikuwa ni wazuri katika comed,sema makosa ni hayo ya kumkashifu Mengi,Lakini mtumishi Masanja naamini hatapotea kutokana na karama yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.