Kama Mungu akiruhusu kifo .. Utakufa kwa wakati wa Mungu. Kwendraaaa,Lissu kala Risasi 21 lakini yupo hai.. Kwendraaaa... Kajiue kwanza wewe.. Mpuuzi wewe ongea kwa hoja
Kakobe amemaanisha kwamba Mungu wake ana pesa kuliko Serikali.. kama umechunguza kanisa lake halijaanzia Nje na wala hajawahi kupewa msaada na wazungu.. Huduma yake inategemea msaada kutoka kwa Mungu ambaye pesa, mali ,dhahabu ni mali yake..Ndio maana anajitamba kwamba Yeye ana pesa kuliko...
Hehee ndugu unajua kiswahili wewe?? Kakobe amesema kwamba atubu hajamwambia atubu kanisani kwake wala hadharani. Kutubu kunaambatana n kujuta n kuacha.. Sio unatubu n kurudia yaleyale.. LUGHA NYEPESI HAIHITAJI HATA KWENDA SHULE...
Maskini humjui Kakobe wewe . Ana makanisa nchi nzima na yote yana waumini wa kutosha.. hana shida na waumini. Pale anakemea dhambi. Akiona hata mshirika ametenda dhambi ya uasherati anatimua hana double standard. Nenda kanisani kwake uvae tu kwa adabu halafu ukashuhudie chunguza mambo kwanza...
Toka Waziri wa Uingereza kutoa masharti ya misaada kwa nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania kwamba lazima tukubali mambo ya ubaradhuli na usagaji.
Mbona mpaka sasa Rais JK hajasema chochote kama Rais wa Ghana alivyothubutu kusema hadharani kwamba hakubaliani na hilo?
Je',kwa nchi ya Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.