Mwana kondoo
Senior Member
- May 21, 2017
- 180
- 175
Enyi CCM ni nani aliyewaroga?
Ni hivyo vitoto kama hicho kinachoongea hapo kwenye hiyo clip.Hivi wanaposema jumuiya ya "wazazi" wana maana gani haswa?? Hao "wazazi" ni kina nani? Tupeane elimu kidogo.
Swali muhm sana hiliHivi wanaposema jumuiya ya "wazazi" wana maana gani haswa?? Hao "wazazi" ni kina nani? Tupeane elimu kidogo.
Afadhali hata Kakobe anafahamika.Sasa,weye ni nani hapa Tanzania zaidi tu ya kujibanza kwenye maandishi humu JF?Kakobe kafifia sana kwa sasa. Nadhani kwa akili yake ameona akianza kuongea mambo hayo watu watamkumbuka kidogo
Maskini humjui Kakobe wewe . Ana makanisa nchi nzima na yote yana waumini wa kutosha.. hana shida na waumini. Pale anakemea dhambi. Akiona hata mshirika ametenda dhambi ya uasherati anatimua hana double standard. Nenda kanisani kwake uvae tu kwa adabu halafu ukashuhudie chunguza mambo kwanza halafu uje useme pumba zako hapa...Sawa kakobe lakini usishangae labda unatafuta waumini
Pooole.. unatokwa n povu hadi hurumaMsikiti wa nani unachezewa hivyo? Akitaka aendelee kupiga siasa kanisani atajibiwa ulingoni kisha ataijibu mamlaka iliyosajili kanisa lake km amelibadilisha kuwa chama cha siasa ama ukumbi wa siasa.
Hehee ndugu unajua kiswahili wewe?? Kakobe amesema kwamba atubu hajamwambia atubu kanisani kwake wala hadharani. Kutubu kunaambatana n kujuta n kuacha.. Sio unatubu n kurudia yaleyale.. LUGHA NYEPESI HAIHITAJI HATA KWENDA SHULE...Lkn hayahusu kutaja majina ya viongozi wa kisiasa na kuwaamrisha wafanye jambo fulani.
Imani za kikristo ni pamoja na kutubu/kuungama je anajuaje km hajaungama au mpk akafanye hivyo kanisani kwake?
Magufuli sio muumini wa kanisa lake kwanini amtake kutubu hadharani kn kwamba ni muumini wake?
Hahahahaaa!Mkuu,kwa hiyo unapendekeza Kakobe awaongeze hao jamaa dongo lingine?Hawa hawana lolote hilo dongo limewapata vzur
Kakobe kaongea ukweli mtupu.
NonsenseMkuu kwa upande wangu gwajima sijawahi hesabu kama ni mchungaji,samahani ka ww ni muumini wake.Wanachokifanya akina gwajima,pengo,shoo,kakobe na mashehe wanaojifanya kuunga au kupinga vitu flani ktk nchi hii wengi ni SIASA.Hakuna cha Mungu anayetumika hapo na wanakufuru kutumia madhabau zao kufanyia siasa huku wakinukuu maandiko matakatifu na Kumtaja Mungu.Hao akina kakobe na gwajima ni timu ukawa na rangi zao zilionekana 2015 na akina pengo and co hao ni CCM.Hawa wote wanatetea pande zao kwa kutumia maandiko kitu ambacho sio sahihi.
Tanzania tuna viongoz wa dini fake,wanasiasa fake Yani kila kitu fake.Na ukifuatilia kwa karibu,atakachoongea gwajima au kakobe huwa sahihi kwa chadema na atakachoongea pengo huwa sahihi kwa CCM lkn ubaya wake wote wanajifanya wanawasemea watanzania kwa kuwapa maandiko ya kimungu
Vipi ndio hao "wazazi" walianzisha jumuiya yao?Umezaliwa enzi za B.W.Mkapa mkuu?
Wazazi wa UvccmHivi wanaposema jumuiya ya "wazazi" wana maana gani haswa?? Hao "wazazi" ni kina nani? Tupeane elimu kidogo.