Tumechoshwa na story za wasaliti wasaliti wasaliti,zito zito zito,mkumbo mkumbo mkubo.if you guys think ur popular,register ur own party,mobilize ur followers na wanao waonea huruma,leave chadema alone.huu mjadala unakolezwa zaidi na vyombo vya habari....country men lets now discuss issues...
yeye
ndo M2,M1 mkumbo MM zito,M3 mwigamba.kama Zitto ni maharufu why cant he
register his own party na akawa mwenyeki,akachagua katibu wake akaput
his vision into action.Hana nafasi tena CDM we will alws see him a
traitor.
ni swala la kumshukuru mungu,kwani waTanzania wanaanza kumsikia mwenyezi Mungu mwenyewe,kwani ndo aliyeumba tawala zote,duniani na mbinguni kwa nia njema ya kuongoza wanadamu,wahishi vizuri duniani na baadaye mbinguni.CCM imeasi katika ilo,imetufisadi na kutusababishia mahisha Magumu.Nasasa...
breaking news ya asubuhi ya leo kanisa la shalom ministry mkoa wa kusini unguja limechomwa moto na watu wasiojulikana.Hakuna majeruhi wala vifo,hakuna aliyekwisha kamatwa upelelezi unaendelea.
source:ITV breaking news/radio one and capital tv,imedhibitishwa na kamanda wa polisi...
Habari
za kuaminika ni kwamba Papa Benedict atangaza kujiudhuru ifikapo feb 28
mwaka huu.sababu za kufanya hivyo ni umri mkubwa unaomzuia kutimiza
majukumu yake.source cnn
Yetu macho na maskio,masalia mnatia hasira,mnadhani nyie ni wangapi kwa idadi ya wapnz na wanachama wa cdm?dr.piga mbuzi wasaliti hawa chini,jahazi lisonge
Usaliti ndo dhambi ya mwisho katk jeshi,adhabu yake ni kifo,siasa ni tofauti kdg,adhabu yake si kusamehewa ila ni kupigwa exile,kizuizini.kwa ushndani wa sasa wa siasa za tz,huwezi samehe watu hawa,wapigwe chini,warudishe kadi za chama,kimsingi hata ben saanene,huwezi kumuamini,apigwe probation...
Jana nilienda buguruni nikitafta makamanda wa chadema manually,watu wengine niliouliza hawakuwa na taharifa sahihi kuhusu hao makamanda hivyo wakanielekeza makao makuu ya CUF kwa minajili kwamba hawa upinzani watakuwa wanafahamiana.Safari ya kwa mzee Lipumba ikaanza,moja mbili moja mbili moja...
ni maoni yenu,mmemuona wasira kwa vile amepata forum ya kuonekana,i think kwenye cdm we have more competent women than she is ukweli ni hawajapewa nafasi.Naungana na wachangiaji wote kwamba bawacha iko hoi nimewai kusema hata mbele ya mwenyeki wetu,Suzane Lyimo kwenye kikao chetu kimoja jimbo la...
Tamko alitoa Martin Shigella ni moja ya kauli mfu watoazo wanasiasa wasiokuwa na upeo au waliopofushwa na propaganga.Eti------chadema ndo wamempiga risasi kijana Alli,Shigella atueleze,jana kulikuwa na majibishano ya risasi kati ya chadema na Police?mbona police wenyewe hawajasema ilo?uyu...
Nilitakaa kushangaa kama BBC swahili wasingerusha habari za chadema na machafuko Morogoro,kama walinisikia wakarusha,habari yenyewe too bias, eti polisi wasingeruhusu maandamano wakafunga barabara inayotumiwa na wagonjwa na wasiokuwa mashabiki wa chadema,swali je?chadema hawakuwa na haki nahiyo...
kama watanzania wengine una uhuru wa kutoa maoni,ila ujue sio lazima tukubaliane na mawazo yako,mpo na mko wengi wenye mawazo yenu ya hivyo,kwa bahati mbaya tanzania ya leo haiko upande wenu.nawe wajua ukweli ila lazima useme ivyo ili kulinda unachakijua mwenyewe.
habari za kuaminika ni kwamba,msimamo wa chadema kuhusu serikali ambao kimsingi CCM haikubaliani nao ndo kitu wazanzibari wanataka ili kudumisha muungano,kama si kupigilia msumali wa mwisho wa kaburi la CCM chadema inahafiki swala la mafuta kuachwa kwa wazanzibar wenyewe.Kutokana na misimamo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.