CHADEMA NA CUF kwani tatizo ni nini?

anatropia

Member
Sep 27, 2007
23
5
Jana nilienda buguruni nikitafta makamanda wa chadema manually,watu wengine niliouliza hawakuwa na taharifa sahihi kuhusu hao makamanda hivyo wakanielekeza makao makuu ya CUF kwa minajili kwamba hawa upinzani watakuwa wanafahamiana.Safari ya kwa mzee Lipumba ikaanza,moja mbili moja mbili moja mbili,mpaka kwa ngangari,jamani mpo?tupo karibu.Nawaulizia makamanda so and so naweza wapata mitaa gani kwani nilijua chadema wanamsingi ila sikujua wapi specific.Matusi niliyoporomoshewa Mungu anajua......Hichi chama ci hatukitaki kabisa,kwanza hawana chao hapo,nawe kichaa unaulizia chadema buguruni?umepotoka,haumfahamu profesa wa uchumi?ataja komboa taifa,hata marekani wanamtambua we si mwanaCUF au mwenzetu mchaga?na story nyingi tu,sitasema zote.Sikukata tamaa nikanyosha huyooooooooo kwa magamba,huwezi amini ushirikiano nilipewa mpaka kufikishwa kwenye tawi ilo la chadema.Nimeshindwa kuelewa labda wadau nijuze kuna nini kati ya chadema na cuf na c CCM hasimu wao namba moja?
 
Jana nilienda buguruni nikitafta makamanda wa chadema manually,watu wengine niliouliza hawakuwa na taharifa sahihi kuhusu hao makamanda hivyo wakanielekeza makao makuu ya CUF kwa minajili kwamba hawa upinzani watakuwa wanafahamiana.Safari ya kwa mzee Lipumba ikaanza,moja mbili moja mbili moja mbili,mpaka kwa ngangari,jamani mpo?tupo karibu.Nawaulizia makamanda so and so naweza wapata mitaa gani kwani nilijua chadema wanamsingi ila sikujua wapi specific.Matusi niliyoporomoshewa Mungu anajua......Hichi chama ci hatukitaki kabisa,kwanza hawana chao hapo,nawe kichaa unaulizia chadema buguruni?umepotoka,haumfahamu profesa wa uchumi?ataja komboa taifa,hata marekani wanamtambua we si mwanaCUF au mwenzetu mchaga?na story nyingi tu,sitasema zote.Sikukata tamaa nikanyosha huyooooooooo kwa magamba,huwezi amini ushirikiano nilipewa mpaka kufikishwa kwenye tawi ilo la chadema.Nimeshindwa kuelewa labda wadau nijuze kuna nini kati ya chadema na cuf na c CCM hasimu wao namba moja?

anatropia, Magamba na Magwanda ni kama yanga na simba, kabla ya mechi ni watani wa jadi, wakati wa mechi ni unyama unyama! hivyo magamba na magwanda wakiwa in action huwa ni Lila na Fila! ndio tulivyo watz, ni ndugu wakati wote hadi wana siasa waje na pombe zao!
 
Jana nilienda buguruni nikitafta makamanda wa chadema manually,watu wengine niliouliza hawakuwa na taharifa sahihi kuhusu hao makamanda hivyo wakanielekeza makao makuu ya CUF kwa minajili kwamba hawa upinzani watakuwa wanafahamiana.Safari ya kwa mzee Lipumba ikaanza,moja mbili moja mbili moja mbili,mpaka kwa ngangari,jamani mpo?tupo karibu.Nawaulizia makamanda so and so naweza wapata mitaa gani kwani nilijua chadema wanamsingi ila sikujua wapi specific.Matusi niliyoporomoshewa Mungu anajua......Hichi chama ci hatukitaki kabisa,kwanza hawana chao hapo,nawe kichaa unaulizia chadema buguruni?umepotoka,haumfahamu profesa wa uchumi?ataja komboa taifa,hata marekani wanamtambua we si mwanaCUF au mwenzetu mchaga?na story nyingi tu,sitasema zote.Sikukata tamaa nikanyosha huyooooooooo kwa magamba,huwezi amini ushirikiano nilipewa mpaka kufikishwa kwenye tawi ilo la chadema.Nimeshindwa kuelewa labda wadau nijuze kuna nini kati ya chadema na cuf na c CCM hasimu wao namba moja?

Yaani Umeandika Maneno ELFU 3,700 kutafuta njia ya kurelate CHADEMA na MCHAGGA? Yaani haukuweza
Kwenda to the POINT DIRECT? Ukazunguka BUGURUNI YOOTE; Nadhani ULIKUWA na GARI sio kwenye HILO JUA Na SUTI TIGHT IMELIBANA HILO TUMBO la MVINYO wa WIZI na UFISADI... IT IS A SHAME

MAKE A GOOD POINT; CHILDRENS are OUR FUTURE !!!
 
Back
Top Bottom