Nilitakaa kushangaa kama BBC swahili wasingerusha habari za chadema na machafuko Morogoro,kama walinisikia wakarusha,habari yenyewe too bias, eti polisi wasingeruhusu maandamano wakafunga barabara inayotumiwa na wagonjwa na wasiokuwa mashabiki wa chadema,swali je?chadema hawakuwa na haki nahiyo barabara?na suppose wangewaruhusu yaliyotokea yangetokea?
Patamu zaidi,polisi wanasema hawajatumia risasi za moto dhidi ya waandamanaji,na Je kamanda Ally alipigwa na nini kichwani?na wanajinasibu polisi haohao wameunda tume kuchunguza kilichompata.wito polisi elevukeni zama zimebadilika watanzania hatudanganyiki tena.:A S cry:
Patamu zaidi,polisi wanasema hawajatumia risasi za moto dhidi ya waandamanaji,na Je kamanda Ally alipigwa na nini kichwani?na wanajinasibu polisi haohao wameunda tume kuchunguza kilichompata.wito polisi elevukeni zama zimebadilika watanzania hatudanganyiki tena.:A S cry: