habari za kuaminika ni kwamba,msimamo wa chadema kuhusu serikali ambao kimsingi CCM haikubaliani nao ndo kitu wazanzibari wanataka ili kudumisha muungano,kama si kupigilia msumali wa mwisho wa kaburi la CCM chadema inahafiki swala la mafuta kuachwa kwa wazanzibar wenyewe.Kutokana na misimamo chanya ya chadema yenye maslahi kwa pande zote za muungano ndo muharobaini ya mgogoro wa wazanzibar.Wazanzibari niloongea nao kwa kauli moja wanawasubili makanda wa jeshi la ukombozi Tanzana,Dr Slaa na Mbowe watue zanzibar wawalejeshee shahada za kijani wapatiwe makombati tayali kurejesha zanzibar kundini-ndani ya gwanda na si gamba