Habari wana JF wenzamgu, mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nipo chuo kikuu nataka nianzishe social community kwa ajiri ya vijana wenzangu na hata hapo mbeleni iweze kua NGO pls mwenye maoni yoyote
Jamani inavyosemekana ndo hivyo Loans board hawatoi mpunga mpaka wiki tatu zipite kwa kuwa vyuo vingine vimefunga na huo ndo utaratibu walionao, so Raisi, PM, na waziri wa mkopo waenda kufatilia. So ngoja watu waanze kukaba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.