Wakuu amani iwe kwenu!
Nime-stack kidogo. Ninataka kuhamisha contacts zangu zilizo kwenye telegram kuja kwenye simu au kwenye Gmail account yangu. Inafanyika vipi?
Nimehangaika pasi na mafanikio.
Asante.
Fanya hivi...ingiza upya taarifa zako kwa usahihi, ila itakubidi sehemu ya namba ya simu, namba ya kidato cha nne, nida na email ubadilishe. Ukishafanikiwa, utaingia-log in ili uhuishe taarifa zako kwa kuziweka kwa usahihi, kwa maana ya ile nida na namba ya kidato cha 4.
All the best
Nilifikiri labda ni coach wao lakini ninaangalia profile yake ya kawaida sana. Watakuwa na ligi nzuri. St. George nawakumbuka CECAFA challenge cup sema siku hizi haina mvuto
Kazi ya kumwakilisha mtu mahakamani ni ya wakili japo kuna exception flan flan hivi....kwa mfano unaweza kumwakilisha ndugu yako mahakama ya mwanzo, na hata baraza la ardhi la wilaya, mahakama kuu kitengo cha kazi, CMA n.k
Automatic renewal ni kuhuisha mkataba pindi unapoisha. Yaani mkataba wenyewe unajihuisha. Lakini ili hilo lifanyike ni lazima hiyo clause iwepo ndani ya mkataba na iseme hivyo explicitly.
Na hiyo automatic renewal lazima iambatane na masharti fulani hivi kwa sababu, pamoja na kwamba kuna...
Ni rahisi, nenda halmashauri ya wilaya au manispaa uliyopo uwaone watu wa idara ya ardhi. Omba kufanya upekuzi rasmi(official search) ambayo inagharimu shilingi elfu kumi. Utapata print out ya jina la current owner.
Lakini ili upate suluhisho la kudumi, itisheni kikao cha familia, na mpendekeze...
Wakuu,
Simu yangu samsung A50, nikipiga au kupigiwa simu, baada ya dakika chache wakati naongea hukatika na kuwa kama inaji-restart hivi. Yaani siwezi kuongea zaidi ya dk. bila kukatika.
Tatizo litakuwa ni nini?
Kwa uelewa wangu, ukizungumza kwa ujumla, umri wa kuajiriwa serikalini ni miaka 45 na sio zaidi. Sababu hasa za umri huo ni kulingana na sheria za pensheni. Hii inamaana, ukiajiriwa na miaka 45 utafanya kazi kwa muda wa miaka 15 hivyo kukufanya uwe na sifa za kupata pensheni.
Ikiwa zaidi ya 45...
Huo mzigo umetumia kwa njia ya registered mail, kama sijakosea. Na nijuavyo, nenda kwenye box lako la posta huwa kuna vikaratasi wanaweka, kichukue then uende nacho counter kuchukua mzigo. Au kama hakipo nenda posta, wataangalia kwenye system yao kujua mzigo wako upo wapi!
NIKUHAKIKISHIE, ni...
Labda kukusaidia. Utaratibu wa mirathi ni kwa kufungua mirathi mahakamani. Mahakama ndiyo inamteua msimamizi wa mirathi baada ya kikao cha familia kukaa na kupendekeza.
Pia mtu yeyote mwenye interest na mali za marehemu anaweza kuomba kuteuliwa na mahakama kuwa msimamizi wa mirathi.
Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.