samsung

  1. D

    Ushauri Used Samsung note 10 plus

    Naomba ushauri nataka kununua used Samsung Galaxy note 10 plus je ni nzuri?
  2. S

    Msaada: Namna ya kufanya Docomo s10 Plus kusoma samsung s10 Plus inapowaka badala ya Docomo

    Wakuu habari za mida! Nilinunua simu mkoa wa kigoma nikizani nmenunua samsung galaxy s10 plus... kumbe nmenunua docomo s10 plus sasa kinachonikera ni kuona ikiwaka inaonesha logo ya docomo bafala ya samsung inaonesha
  3. Mchimba Chumvi

    Nauza samsung S10 280k

    Ram ni 12 Storage ni 128GB Nipo iringa 0678588735 Nunueni wakuu vyuma vimeumana niko juu ya mawe
  4. BARD AI

    Tetesi: iPhone 16 itafanana mwonekano wa Camera za Samsung S24

    Apple has just launched the iPhone 15, but the rumour mill is already churning for the iPhone 16. The series is expected to bring significant upgrades and improvements compared to its predecessors. Speculation suggests that there will be enhancements in camera performance, display, a more...
  5. Donnie Charlie

    Jinsi ya kusakinisha FONTS maalum katika Samsung one UI 6 au 5.1 Vifaa (Fonti 600+)

    Najua wengi wenu mnapenda customization kwenye simu, sasa nimekutana na hii link ina font 600 amabzo unaweza kubadili kwenye simu yako kila siku tofauti na za kununua galaxy store kwanza hii hii link itakayokupelekea kudownload folder la font...
  6. Cheology

    Simu aina ya Samsung nimeidharau sana. Wenye infinix bakini nazo nafuu

    Yaani nimetumia hii aina kwa mara ya kwanza. Ina upuuz mwingi sana. App lazima uzipe ruhusa. Yaani ni kama upuuzi. Haya mambo ya katalog eti sijui kuonekana unamiliki uninga mtupu
  7. kali linux

    MAONI: Kwenye battle ya flagships, hakuna brand inayoizidi Samsung, hata iPhone haishiki moto wa Samsung

    DISCLAIMER: This content is solely based on my personal opinion. Moja kwa moja kwenye mada. Hizi flagships babalao ni Samsung pekee. Achana na series za Google pixel, iPhone, Redmi, etc... Samsung yuko vzr kotekote, hardware na software. Iphone kwa ile classy feeling na touch wako vzr, ila...
  8. Jamii Opportunities

    Tender Procurement of Samsung Galaxy A54 5G at Good Neighbors January, 2024

    INVITATION FOR BID (IFB) Bid No. GNTZ/HO/002/2024 FOR PROCUREMENT OF SAMSUNG GALAXY A54 5G FOR SPONSORSHIP PROGRAMME, DATA MANAGEMENT AT GOOD NEIGHBORS TANZANIA. Good Neighbors has set aside funds during the financial year 2024. It is intended that part of the proceeds of the fund will be...
  9. dvj nasmiletz

    Phone4Sale Nauza simu yangu samsung A10s tsh 150000

    Simu ipo katika hali nzuri haisumbui choxhote Bei 150000 Ram2gb Storage gb32 Line 2 4g Fingerptint 5000 battery Clean camera 0627474141 Pugu dsm
  10. nasry9819

    simu ya samsung note9

    wakuu niaje.nina simu ya samsung note9 shida niki unistall au delete txt notification ya deleted inakaa muda mrefu sana alaf ndy inatoka.eg. picha below
  11. Mpinzire

    Mwenye kioo cha Samsung S10+ Super Amored kuna Tsh 200,000/= Cash

    Ndiyo nahitaji kioo cha Samsung S10+ Super Amored chenye frame yake kabisa. Atakama ni used fresh ilimradi kiwe kimenyooka tu. Ofa yangu ni Tsh 200,000/= Location ni Dar es Salaam - Ilala -Kariakoo Namba ya simu 0622 901670
  12. The Evil Genius

    Samsung imeachia update ya Android 14, One UI 6

    Samsung imeachia update ya Android 14 One UI 6 toka wiki iliyopita. Kwa wale wenye simu za Galaxy 23 Ultra unaweza ku-update simu yako kwenda One UI 6. Binafsi nilisha update lakini sioni tofauti yoyote na One UI 5.1. Kama kuna alie update humu anisaidie labda mimi ndio sijaelewa customization.
  13. Lexus SUV

    Phone4Sale Samsung Galax A23

    Habari nauza simu aina tajwa hapo juu. ipo kwa good condition , clean and kila accessory ipo pamoja including charge , air phone and mawasiliano ni. 0756294771....
  14. B

    Phone4Sale Nauza Samsung note 20 5g full box

    Nauza Samsung Galaxy note 20 5g full box kwa 630k tuuuu Ina ram 8 storage 128 Pia zip Nokia 3310 kwa 65k tuuu
  15. Dr. Zaganza

    Simu Za Samsung Zimewasili na Ofa Ya Stend Ya Simu BURE

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia hadi Tanzania. Kwa sasa tumeleta simu za kipekee, chache aina ya...
  16. MASTERCHIEF 255

    Samsung A32 5g korean version kukataa network za bongo

    Habari, Nina sumsung A32 5g inaandikwa kt network Ukiweka SIM card ya tigo inaandika Limited service Haikubali kusoma line za bongo Kwa mafundi software na hardware nipeni solution
  17. R

    Phone4Sale Simu inauzwa samsung A13 Dar. Haina mushkeli

    Samsung A13 dark blue color Ni 64 GB, ram 4 gb. Simu haina tatizo lolote, screen ipo safi. Simu ipo Dar Imetumika miezi 11. Unapewa charger, box, risiti. Muuzaji ana shida ya haraka kugharamia matibabu ya mzazi wake. Ameshindwa kuipiga picha kwa kukosa simu ya kutumia kuipiga picha. Picha za box...
  18. Last sentinel

    Computer4Sale Ninauza Laptop ya Samsung

    Hellow guys kwema? Ninauza laptop ya Samsung, Ram 4GB, processor 1.5ghz, HDD ~500 GB, haikai sana na chaji unachomeka moja kwa moja ukutani, Price ni 200,000/ Contacts: 0759~124378 Nipo Mbezi ya Kimara
  19. Afisa Mteule Drj 2

    Msaada Nahitaji Display Original ya Samsung Galaxy A10

    Simu yangu ilitumbukia kwenye maji display ikaharibika niikaweka display nyingine kwa sh 70,000,display hii mpya haina ubora kama ile original iliyokuja na simu na napasuka kama kioo cha dirisha pia inastack ovyo nikitouch.Nauliza kuna anayejua wapi naweza kupata display nzuri na original ya...
Back
Top Bottom