Kwa mantiki hiyo, Mtanzania anakuwa hana tofauti na wanyama au hayawani wa porini. Pona ya digidigi ni kushiba kwa Simba. Na watoto wa Chui wanaweza uwa mtoto wa swala kwa kujifunzia kuwinda. Tumia muda kidogo tu kuangalia Tv channel za wanyama na uone maisha ya mwituni.
Ndivyo unavyotaka...
Madhara ya kujaza sana au kujaza kidogo ni hayo hapo juu. Uishaji wa matairi. Upepo wa tairi za nyuma hutofautishwa na upepo wa tairi za mbele kwasababu, inategemewa uzito wa mbele na uzito wa nyuma ni tofauti. Ila kama uzito sawa, hakuna tofauti ya ujazo. Angalia tairi zako zinavyoisha ndo...
Sina uhakika kama nimekuelewa vizuri. Ila nimeelewa kwamba kwa mtazamo wako, kumiliki simu fulani pia kunaendana na uwezo wa kiuchumi wa muhusika.
Kama ni hivyo, dah!! pole sana. Nachelea kusema ni dhana potofu sana. Wengine hizi simu ni mtindo wa maisha tu. Hazina uhusiano na uchumi.
Mtu...
NMB/VODA huu wizi mtaacha lini?. Napiga *150*66# ili nipate huduma ya bank mkononi. Naambiwa huduma hii kwa sasa haipatikani, lakini nakuta kiasi cha Tsh 50 mmekata kwenye simu yangu wakati sijapata huduma.
Narudia tena *150*66#. Nafika hatua ya nne kuelekea huduma ninayohitaji, naambiwa...
NMB/VODA huu wizi mtaacha lini?. Napiga *150*66# ili nipate huduma ya bank mkononi. Naambiwa huduma hii kwa sasa haipatikani, lakini nakuta kiasi cha Tsh 50 mmekata kwenye simu yangu wakati sijapata huduma. Narudia tena *150*66#. Nafika hatua ya nne kuelekea huduma ninayohitaji, naambiwa 'huduma...
Ilikuwa hiviii....... Niko njiani naendesha. Mbele nikakutana na daladala aina ya coaster. Ile daladala ilikuwa njiani inaenda huku ikitafuta abiria. Nadhani unajua Mwendo wa hawa jamaa wakiwa barabarani huku wanavizia abiria, ni taratibu sana. Nikaenda nae hivyo hivyo. Na hii barabara katikati...
Asante sana kaka. Umenifumbua macho. Ndio maana nilikuwa napata mashaka sana juu ya weledi wake. Kama mtu kaweza kuandika hii lugha namna hii, inawezekana vipi ashindwe kutofautisha!!!. Kumbe ni mambo ya ku-click. Hiyo pia ime-explain jambo jingine ambalo sikulitaja kwenye andiko langu.
Kosa...
Asante sana kaka. Umenifumbua macho. Ndio maana nilikuwa napata mashaka sana juu ya weledi wake. Kama mtu kaweza kuandika hii lugha namna hii, inawezekana vipi ashindwe kutofautisha!!!. Kumbe ni mambo ya ku-click. Hiyo pia ime-explain jambo jingine ambalo sikulitaja kwenye andiko langu. Kosa...
Asante sana kwa ufafanuzi kaka. Tunarudi kwenye weledi wa huyu askari wa barabarani. Kuna shida kubwa kwenye hichi chombo. Na haya ni mambo tunayoweza kuyaona huku nje. Kuna mengi ya huko ndani, nadhani ni hatari zaidi na uvundo zaidi.
Habari zenu wana jamii. Leo nimeona tuongeee kidogo kuhusu hawa askari wetu wa úsalama barabarani.
Ukiangalia hicho kiambatanisho hapo juu, hilo ni Kosa la barabarani ambalo askari amemuandikia dereva. Japo kuwa hilo Kosa inaonekana ni la kujitungia tu, lakini shaka yangu si juu ya hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.