kwa wale wanaozijua,ipo katika hali nzuri na ni nzuri pia kwa wale wacheza games.Imetumika masaa 74 na bado ni sealed, katika hali ya upya kabsa
ACER PROJECTOR X110 3D DLP
Part No - EY.JBU01.039
Product Description - Acer X110P - DLP Projector - 3D Ready
Weight - 2.2 kg
Device Type - DLP...
Ni used, but ipo sealed kwan imetumika masaa 74 tu. nauza 500k (Laki tano na maelewano yapo) anayehitaji ani pm.nipo Dar ila hata wa mkoani naweza ituma kwa maelewano tutayo ingia
Lamp Life (Full Power) : 3,000 hours
Lamp Life (eco-mode) : 4,000 hours
Lamp Type : P-VIP
Lamp Wattage: 180...
NINA HUAWEI U8650 IMEHARIBIKA COLLECTOR INAYOPOKEA MKANDA WA KIOO...NATAFUTA MTU AMBAYE ANA CIRCUIT YAKE ILI NILIPLACE YANGU...AWEKE BEI TUELEWANE:help:
Japokuwa watu wametulia polisi Wamekuwa wakizizunguka mitaani na kupga mabomu ya machozi na kumwagia maji ya kuwasha, mbalizi nako kumenuka ,TRA mmefulia
habari ni kuwa ,haya najina yaliyotoka niya wale wanafunzi wanaoenda first year mwaka huu,then yatafatiwa na majina ya wale wanafunzi wa chuo wanaopata mkopo lakini waliomba tena ili waboreshewe kiasi cha mkopo wanaopata ....alafu yatafuata majina ya wale ambao walikuwa wasoma bila mkopo kabisa...
Ni moja kat ya games ambazo nazkubal xana na baada ya kuona trailer lake... Lakn cha ajab kwny pc yng inagoma kwa kuonesha black scrn plz naomba kwa aliyenayo na inacheza anielekeze amefanye
BOT sasa wanatoa scholarship kwa wanafunzi mtaopangiwa course za economics ,math,accoun na finance na hata kwa wale watao taka masters...kwa nyie mliomaliza 6 ,lazma uwe na div 1 na uwe umepata A kati ya hayo maxomo hapo juu ,na kwa wanaotaka masters lazma uwe na GPA kuanzia 4 na kupanda, kwa...
Napenda kuchukua nafasi hii kuwa asa wale wote wenye mpango wa kutumia pesa zako katika kuomba mkopo kwenye hii taasisi sjui ya HLSSF Kwa kifupi hawa majamaaa nimatapeli watakulia 30000yako na utambulia ahadi tu. Na website yao inafanya kazi kipindi tu cha ku apply. HAWA HLSSF NI MATAPELI NA...
naomben msaada wana jamvi...nina iphone yangu 3gs mara ya mwisho ilizima ikadai chaji imeisha ..cha kushangaza nilpo ipachika kwny chaji ili vibrate tu na wala haioneshi chochote nikacharibu kupress power button +home button wala haijasaidia chochote plz nisaidien maana hata itune haiitambui
natanguliza shukurani .....mwenzenu nime istall ICS rom ktk ideos U8150 na nimefanikiwa ...lakini simu haiwez play music au video..inasema Cant play this video/musi..naomben msaada..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.