hii tabia kila mara itokeapo ajali ama majanga tunaishia kusema kazi ya mungu aina makosa itatusumbua sana; kinachopaswa kuangalia ama kujadili ni je mambo gani yanasababisha ajali hizi?je?kwa mfano barabara aliyopatia ajali regia ingekua na upana wa kutosha na yeye mwenyewe kufata sheria za...
UTINGO umefafanua vema sana sana' si busara kufungamana sana na dini hakika uhusiano wako mzuri na muumba wako ndio utakao kupa amani ya kweli apa duniani na mbinguni
kwa nayefahamu Arusha mjini na vitongoji vyake kuna kero ndogondogo mfano barabara za mitaani kama levolosi,kaloleni,mbauda, na sehemu nyingine.Na ninavyofahamu Mbunge wa eneo husika anao ushawishi mkubwa wa kuweza kuwahamasisha wananchi ama kuisukuma serikali ili kuondoa kero hizi.Ushauri wangu...
Kwa ninavyo fahamu mimi Mbunge ni chachu kubwa ya maendeleo katika jimbo husika hivyo tunatarajia mabadiliko makubwa kutoka kwa mh Godbless Lema walao kupambana kero ndogo ndogo zikiwemo barabara za mitaa kama makao mapya kaloleni na sehemu nyinginezo ikiwemo mjini kati. Pia kero za msongamano...
hivi kweli kwa jinsi sarafu yetu inavyo poromoka dhidi ya dolar inashabiana na yanayosemwa kuwa uchumi wetu unakuwa kwa kasi?wenye euelewa juu ya hili naomba ufafanuzi
nadhani tatizo ni mgao tu, hawa hawana lolote ni sehemu ya wanafki ndani ya ccm, tena nashauri CHADEMA isipende sana wanachama wenye asili ya ccm wengi wao hawana nia ya kweli ukombozi wa nchi wamekaa kinafki nafki tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.