Search results

  1. Chenge

    Inawezekana ajali iliyotokea Arusha leo ndio niliyoiota

    Kwa hiyo wewe ndo maharage ya ukweni?
  2. Chenge

    Karibuni Tujenge Dodoma

    Kwa sasa hizi bei huwezi kupata wateja. Dodoma ya sasa hakuna tena inflow ya wafanyakazi wanaohamia na waliohamia mostly walishanunua. In few years to come biashara ya nyumba za kupanga Dodoma itakuwa ni hasara tupu.
  3. Chenge

    Nimemwambia "Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ugongewe mkeo ili akili ikue"

    Nipe namba ya mke wake nimalize mchezo
  4. Chenge

    Baadhi ya solutions za matatizo ya automatic gearboxes

    Mtaalam gari ya automatic kukosa nguvu wakati wa kupanda mlima, shida ni nini?
  5. Chenge

    Orodha ya simu za 4G za android zenye RAM kuanzia 3GB pamoja na betri kuanzia 5000mAh.

    Hizo aina za simu mbona sijawahi kuziona zinapatikana katika maduka gani?
  6. Chenge

    Video mpya ya Harmorapa: Kiboko ya mabishoo

    Dogo katisha sana!
  7. Chenge

    Ingekuwa leo ndio uchaguzi....Hali ingekuwaje...CCM?

    Ingekua mbende mbende kifo cha mende.......
  8. Chenge

    Kutoka Mahakama Kuu: Kesi ya Mbowe dhidi ya RC Makonda, RPC Sirro na ZCO Wambura

    Ingekuwa hivyo watendaji wa Serikali tusingewaona mahakamani wakishtakiwa na kesi mbali mbali
  9. Chenge

    Kutoka Mahakama Kuu: Kesi ya Mbowe dhidi ya RC Makonda, RPC Sirro na ZCO Wambura

    Hapo sasa. Sioni kama kuna mwendelezo wa kesi zaidi ya maombi kutupwa
  10. Chenge

    Kutoka Mahakama Kuu: Kesi ya Mbowe dhidi ya RC Makonda, RPC Sirro na ZCO Wambura

    Natabiri hilo ombi siku ya ijumaa mchana litatupiliwa mbali na akitoka nje atakutana na vijana wakimsubiri ambapo itabidi akahifadhiwe hadi J3
  11. Chenge

    Msaada: External HD inaandika Format kila nikiiweka kwenye PC

    Sotware naona ndo itakuwa rahisi zaidi. Nipe link nidownload hiyo software
  12. Chenge

    Msaada: External HD inaandika Format kila nikiiweka kwenye PC

    Flash disk ikiwa na format ya RAW unafanyaje kui recover?
  13. Chenge

    Msaada: External HD inaandika Format kila nikiiweka kwenye PC

    Possibly ilichomolewa bila kufuata utaratibu hivyo hata ukiformat haitakubali
  14. Chenge

    Msaada: External HD inaandika Format kila nikiiweka kwenye PC

    Kama ni RAW hiyo ni ya kutupa huwezi kui recover
  15. Chenge

    Dawa za Kulevya: Yusufu Manji afikishwa Mahakamani Kisutu, aachiwa kwa dhamana

    Ilishasemwa mtumiaji anafungwa miaka mitatu, nafikiri hiyo kauli alilengwa huyu jamaa
  16. Chenge

    Msaada: Simu imejiweka mistari

    Si haba, unalipa.
  17. Chenge

    VETA inatoa diploma?

    So far wanatoa Diploma ya fani za Hotel kwa chuo kilichopo Njiro Arusha, Diploma ya Ushonaji kwa chuo cha Chang'ombe na Diploma za masuala ya ICT kwa chuo kilichopo Kipawa
Back
Top Bottom