Wadau naomba juzwa mh imekuwa muda sana tangu 2fanye oral interview hakuna habari yeyote juu ya lini au nani kaitwa anza kazi,plz mwenye updates plz weka jamvini
wadau na watu wenye mapenzi mema hata ukaguzi wa chuo hicho ulifanywa na afisa mmoja tu toka TCAA NA KUPEWA mlungula wa laki 3,kweli ipo haja waziri husika aende akajionee madudu haya na siyo kukaa tu ofisini huku watanzania wakiumizwa na matapeli wachache
mbaya zaidi wanafunzi wakihojina kudai hak zao za msingi jamaa huwafukuza,mh inauma sana plz wadau huyu jamaa ni tapeli sana kwani amewahi fukuzwa ktk majengo ya tazara kwa kushindwa kulipia kodi,kahamia tabata uchochoroni ili awaibie watu jamani wana JF nendeni mkajionee
Wadau msaada mdogo wangu katapeliwa na chuo feki cha anga cha tapeli Chalanga kipo tabata magengeni ambacho hakina usajili lakini mamlaka husika TCAA ikishindwa kumwajibisha jamaa mwenye chuo.
Nendeni CRDB Bank, Tabata mkajionee nanma utapeli unavyofanyika kwani watoto wa masikini wanatozwa...
:playball:
Wadau niko kwa kijiji hadi sasa sielewi kama nomino yangu ilitolewa ktk shortilist za uhamiaji,nimekosa access ya gazeti plz niangalizieni wadau ndimi EMMANUEL BUdodi
:crying:
:welcome:
:frusty:
:amen...
:frusty:Wadau last week panel ya kushortlist ilikutana but up to now hamna kinacho eleweka,kama kuna mdau mwenyewe nyepesi atujuze hapa jamvini:bounce:
Wadau hii kweli ni haki?tangu waalimu waajiriwe february hadi leo hawajalipwa pesa za nauli,mizigo na wategemezi wao huku wakipigwa danadana wasijue nn cha kufanya|ama kweli inatia uchungu by mwanaharakati
Wadau cc waalimu wapya tuliopangiwa kazi ktk mikoa mbalimbali tunaibiwa,subsistance allowance ni bei gani kwa jijij na mikoa? afu ni cku ngp?tetesi eti mwaka huu wanalipa cku 7 tu'kiasi hakijulikani ss ni waraka upi unasema hayo mana hawatuonyeshi.mwenye data atujuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.