mnyevushaji
Member
- Oct 4, 2011
- 24
- 1
Wadau cc waalimu wapya tuliopangiwa kazi ktk mikoa mbalimbali tunaibiwa,subsistance allowance ni bei gani kwa jijij na mikoa? afu ni cku ngp?tetesi eti mwaka huu wanalipa cku 7 tu'kiasi hakijulikani ss ni waraka upi unasema hayo mana hawatuonyeshi.mwenye data atujuze