heslb,mchujo wa kibaha vipi?nn kinafuatia 2juzane ma interview lini

Wametoa ushindi mezani tayari. Hata kama ukiitwa itakuwa kukamilisha ratiba. Poleni sana wadau.
 
hahahahahaha mm kuna jamaa yangu kashaanza kazi, hakutuma wala application, baba yake yupo TCU ni mkubwa flani iv pale, hahaha hii ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo, pole sana
 
Back
Top Bottom