Natanguliza heshima ya pekee kwa forum hii ya kada ya afya ya uganga(doctor),
Ni dhahiri jamii inanufaika kwa hili pamoja na yoote napenda kuchukua fursa hii kuwa introduce kada ambayo pia ni ya muda mrefu lakini watu wake wamekua kimya na kutokan ana enzi hizo kuwa na elimu kiwango kidogo...
Natafuta mchumba,awe anajiheshimu,mchangamfu asiwe mrefu sana yan awe size ya kati and any colour is ok.nipo chuo kikuu cha afya muhimbili nasoma na na tutor wa kampala university am jas 23 of age so msichana atleast tuwe tunaendana age
hongera kwa kuwa nazo chache ingawa si nzuri sana,uchache huo unaashiria hauna infections sana ila una deffciciency ya wbc,nakushauri utumie vyakula vyenye vitamibi na proteiin za kutosha na madini mbalimbali ya chumvi kama vile iron.DR.sikira(Riobizo)from muhimbili university
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.