Habari zenu wana JF.
Napenda kujua kama uwepo wa vyama lukuki vya kisiasa ni suluhisho la migogoro ya makundi ndani ya vyama vya kisiasa hapa nchini au ni uchu wa madaraka katika hawa wanasiasa nakujidai wanawapenda wanachi kumbe wizi mtupu?
Habari zenu wana JF, leo nimeonelea tukumbushane katika ahadi za wanasiasa wetu, ikiwa siku za ahadi feki zimekaibia, moja ya ahadi ninayo ikumbuka mimi ni maisha bora kwa kila Mtanzania, mie naona tuwe makini na hizi ahadi tumuogope Mungu watanzania popote walipo wanajuta kwa kuiiamini hiyo...
Habari wanna jf.
Wiki ilitopita nilienda bukoba kumtembelea jamaa yangu huko bukoba kilichonishangaza ni wanawake WA huko wengi wao wanatafta weupe kwa kujikoboa wary Hawaii ni washamba kumbe wakiwa ugenini wanaonekana kama wajanja .wanaowajua zaidi watueleze.
HAbari zenu wanaJamii.
Mwenyetaarifa na bomu lililo lipuka pale maeneo ya seweto arusha atujurishe nimekuta taarifa inaishiria kwenye ITV sasahivi na watu saba wakiwa wamejeruhiwa.
Habari zenu wanajamii,
Naomba aliye na soft copy ya rasimu ya katiba mpya aitume hapa kwenye jukwaa ili nami niiipate niweze kuipitia kama wantanzania wengine .
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada huo.Nimeingia kwenye website yao sijaipata.
Asanteni.
We are always living in politics, baraza hawana cha kusema hapa juu ya hili,
sinaimani juu ya hayo yanayosemwa na serikali kama kweli hawa baraza wanaweza chukua hatua za kupandisha grade ingali wanafunzi wakiwawamefeli? hizi ni siasa tu, acha Tanzania iitwe tanzania kisiwa cha amani, watu...
Habari zenu wanajamii.
Jana serikali ya Tanzania ilitangaza kubatilisha matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012, binafisi mimi naona kama nimiujiza fulani ambayo inanipa majibu yakuwa watendaji wetu bado hawako makini nakumejaa ubabaishaji.
Kikawaida baraza la mitihani hufanya mchakato mzima...
Miaka ya hivi karibuni CCM imepoteza mvuto kwa wananchi, hata viongozi wake wanalitambua hilo,hii ni sawa na mtu yeyote anapopoteza umaarufu kuurejesha umaarufu inahitaji muda na kunagharama kubwa, chama hiki sasa kinapiga mbizi kwenye maji mafupi sijui kama kitajiokoa, kauli mbovu za viongozi...
walimu ambao wanafika jiji kudai madai kama ,pesa ya uhamisho/mapunjo mbalimbali na mengine yanayo fanana na hayo wamekuwa wakisumbuliuwakweli. kikwazo kikubgwa ni wafanyakazi wa pale masijala maana majibu wanayo toa ni faili halionekaniau labda faili linashughulikiwa au wana weza hata...
nackitka sana ni napo ona wanafunzi wana feli somo la hisabati ivi tatzo ni kitu gan? au la bda kijana wangu tu ndo ana matatzo / kama kuna mwalimu mzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.