walimu jiji la mwanza wanaonewa

Mtanganyika1

Member
Sep 13, 2011
56
5
walimu ambao wanafika jiji kudai madai kama ,pesa ya uhamisho/mapunjo mbalimbali na mengine yanayo fanana na hayo wamekuwa wakisumbuliuwakweli. kikwazo kikubgwa ni wafanyakazi wa pale masijala maana majibu wanayo toa ni faili halionekaniau labda faili linashughulikiwa au wana weza hata wakachagua ofisi mojawapo na kusingzia et faili liko huko.

watu hao kwa maoni yangu wamechoka kazi na mhusika awafukuze au awabadilishie kazi ,kama ina tokea wana poteza faili la mwalimu sasa kumbu kumbu zake zita toka wapi? matokeo myake mwl huyu kil;a siku ana anza kwenda jiji ili ahakikishe faili lake lina patikana ? jamani ivi ni walimu tu ndo wanafanyiwa hayo au hata idara zingine mambo ni hivyo na nini kifanyike kwa hao watu mishi wa masijara?
 
hao wafanyakazi watimuliwe mara moja,wana aibishan jiji na kusumbua watumishi.

tena ningekuwa j k ningeunda tume
 
iv hao wahusika hawafahamu kweli kashifa hiyo?,sasa mkuu wao wa idara ina bidi achunguzwe. natamani mkurugenzi aniteue niwe walau afisa utumishi kwa siku moja tu ili nmsaidie kusafisha wafanyakazi mabwenyenye .hawafai hata kidogondo maana kila kukicha walimu wanapoteza ari ya kazi
 
Tatizo walimu hawana mtetezi. CWT kimekuwa sehemu ya chama siasa cha serikali na hakipo kwa ajili ya kutetea walimu. Walimu msipoungana na kudai haki zenu wenyewe mtaonewa mpaka mwisho wa daari. Kiitikio chenu cha SOLIDARITY 4EVER hakina maana!
 
walimu ambao wanafika jiji kudai madai kama ,pesa ya uhamisho/mapunjo mbalimbali na mengine yanayo fanana na hayo wamekuwa wakisumbuliuwakweli. kikwazo kikubgwa ni wafanyakazi wa pale masijala maana majibu wanayo toa ni faili halionekaniau labda faili linashughulikiwa au wana weza hata wakachagua ofisi mojawapo na kusingzia et faili liko huko.

watu hao kwa maoni yangu wamechoka kazi na mhusika awafukuze au awabadilishie kazi ,kama ina tokea wana poteza faili la mwalimu sasa kumbu kumbu zake zita toka wapi? matokeo myake mwl huyu kil;a siku ana anza kwenda jiji ili ahakikishe faili lake lina patikana ? jamani ivi ni walimu tu ndo wanafanyiwa hayo au hata idara zingine mambo ni hivyo na nini kifanyike kwa hao watu mishi wa masijara?

na wanaonewa kabisa, kuna walimu wa GEITA ndo kiboko, hadi hii leo hawajalipwa pesa yao ya SENSA achilia mbali ya zile siku 7 zilizoongezeka. walimu wa tz bwana ha ha ha si waende hata mahakaman?
 
kama mwajiri mwenyewe mwonevu na dhalili, hao watumishi masijara watakuaje?
hakika ni tatizo la kitaifa maana mwajiri mkuu anawaona walimu kama wafanyakazi wa chini kabisa tena wasio hadhi wala uhalali wa kupata haki zao kwa wakati, hao wa masijara pia hujionea uvivu kubeba mafaili yasiyoshughulikiwa kila siku. kwa mfano mwalimu anadai toka mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka faili linazunguka tu mara nenda utumishi, mara rudi kwa afisa elimu ooh kesho nenda mishahara na wa mishahara watakwambia nenda kwa mkurugenzi hayo yote bila sababu za msingi na watu wa masijara wanajua hilo mwisho wa siku,watu wa masijara huamua hata kuficha faili maana inachosha hasa kwa walimu wafatiliaji na sababu nyingine ni kukithiri kwa virushwa kwenye ofisi ya masijara!
faili halitaonekana mpaka "mtu ashikwe mkono"
 
Back
Top Bottom