Habari wana JF.
Twende moja kwa moja kwenye mada na kuomba ushauri juu ya hili. Kuna hali inanitokea si ya kawaida nikiw mwnye hasira sna ni mwenye kutetemeka na kuhisi bard haswa.
Nilikuja kugundua hii hali nikiwa n miaka 23 baada ya kuachwa na mwnamke niliyempnd na kumthamn kwa kila hali na...
Habari ndugu zangu wana JF.
Twende kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni kijana wa miaka 25 ni mfanyabiashara. Miaka ya nyuma kwenye harakati za maisha nilijikuta na mauhisiano na dada mmoja ambae yupo mkoa mwengine kikazi. Kiukweli nilikuwa nae ila sikuwa nimempenda ki vileeee zaidi ya mbususu...
Habari wana Jf.
Twende moja kwa moja kwenye mada. Wangapi wamefika soko kuu la ilala? Na kama ulibahatika kufika hali yake ikoje? Kiukwel ni aibu kwa taifa letu soko chafu na matope hakuna.
Kuna wafanyabiashara wengi hasa mama zetu wapo kwny mazingira si mazur ya kiafya. Na mama yetu kipenz...
I hope wote wazima wana JF,
Twende moja kwa moja kwenya mada yetu ya leo. Kama hujawah kuumizwa kwenye mapenzi ndugu yangu yaskie tu kwa mwenzako usije kuomba yakukute. Kuachwa na mtu uliempenda kwa dhati maumivu yake hayaelezek sikuwah kufikiria nitakuja kuumia kias hiki.
Nina visa viwili...
I hope hamjambo ndugu zangu wote wana JF.
Naomba kutanguliza samahani kwa yoyote nitakae mkwanza juu ya hili naomba ushauri wenu nifanye nn? Mnivumilie sio mwandishi mzuri sana. Katika mishe zangu za kila siku nilitokea kuonana na mdada fulani kiukweli mzuri wa kila kitu na mwenye kazi yake na...
Habari wana JF.
I hope wote wazima wa afya. Twende moja kwa moja kwenye mada kumhonga mwanamke ni kitu cha kawaida sana ukiwa umempenda au kumuelewa. Huwezi kuacha kumhonga mwanamke maybe ukiwa hujavutiwa nae.
Kuna uzi humu mwana alisema akisikia mwenetu kahonga kagari anahisi kutetemeka...
Habari wana JF
I hope wote wazm wa afya naomb kuomba ushaur kuhusu hii issue.
Kuna ndugu yangu aliwahi kuwa n mwanamke wake na walipendana n walifanikiwa kuwa pamoja kwa mda mrefu kidogo more than 4 years kwenye relationship tangu wanasoma.
Sababu ya kuachana n huyo she baada ya kumaliza...
Habari wana JF.
Hivi ni kweli watu unapiga pesa kupitia company za betting au kubashiri kuhusu mpira au baadhi ya michezo mengine.
Kikwel sijawh kuon mtu kapata pesa kupitia betting wala sidhn na kuna watu unapiga pesa kwel au ni maisha yao ya kila siku.
PESA ZA BETTING YAMEWAHI KUBADILI...
Ambatana Na mimi.
Mpendwa msomaji wa JF Karibu kwenye makala hii tujifunze kwa pamoja,Leo ntazungumzia wanaume makala ijayo ntazungumzia wanawake.
Kama mwanaume lazima upate wakati wa kujua unatakiwa kufanya nini kwa ajili ya kulifanya penzi lako lizidi kuchanua.
USAFI BINAFSI
Asilimia kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.