shughuli za msingi za kampuni hiyo hazijalenga katika kupata faida ,huduma kwanza ila wanaweza kupata kipato cha ziada ambacho huwa termed kama "excess of income over expenditure"
Mwambie mbunge wako "umeibaka demokrasia,umeubaka ustaarabu,umeibaka haki na umeshiriki kwa kiasi kikubwa katika ubadhirifu wa mali za wananchi masikini kwa kugeuza bunge mahali pa mipasho , matusi , kejeli na mijadala ambayo haina tija"
Mwambie Mbunge wako "huna uwezo wa kujadili kushuka kwa...
Hapo anaongelewa chris lukosi bila kulinganishwa na mtu yeyote bali zimelinganishwa kauli zake, kama Slaa, Safari na mwingine yeyote alipindishapindisha kauli haialalishi uongo kuwa kweli....
Nimepitia kwenye website ya necta sijaona taarifa hiyo . Necta walishatangaza hawana official page ya facebook , na mojawapo kati ya page fake hizo ilitumika kutangaza tarehe ya kutoa matokeo kabla hayajatoka ndipo necta walipokana kuwa na page ya fb,sipingani na hiyo taarifa ila tuichukue kwa...
sasa hivi citizen wanaonyesha katika constituency 21 ambazo tume imetangaza ,Uhuru Kenyata anaongoza katika summary of prov. results, maeneo bunge mengi utofauti wa kura kati yao ni mkubwa ila katika aggregate bado uhuru anaongoza.
Final presidential results to be announced on friday according to IEBC , kama kweli unaangalia citizen ndo kitu kinachoonekana kwenye mstari wa dondoo, ni OFFICIAL BUT NOT FINAL.
ni matokeo kutoka kwa baadhi ya constituencies, sio summary ya prov results, so this z not conclusive ila ni indication ya Raila kuja juu....ila mchuano bado ni mkali , no research no right to speak , cheki kwa tv yako ndo utajua ukweli. Mpaka dakika hii ni constit... 6 tu kati ya 290 ndo...
tunashindwa kuacha uzinzi,wizi,rushwa ,uasherati ,ulevi ati tunaangaika na habari ya nani achinje huu ni upompompo. Tuombe Mungu wa kweli atujalie Busara katika kuamua jambo hili. Eeeh Mungu ibariki Tanzania.
mnyonge mnyongeni.........bado eddo anabakia kuwa mchambuzi mzuri wa maswala ya soka nje na ndani ya uwanja . Hata kama anasoma chambuzi za ulaya bado amekuwa na uwezo mkubwa wa kuzioanisha na mazingira yetu ya kitanzania. Kama binadamu anaweza kuwa na mapungufu ktk kazi yake ila kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.