Nina umri wa miaka 30,niko dar, niliishia form 3, kwa ukosefu wa karo, nahitaji kazi itakayoniwezesha kuendesha maisha Yangu
Naweza kusikia kiingereza vizuri na kukiandika japo kuongea kinanisumbua, ila najitahidi kiasi,
Naweza kutumia compyuta,
Kwa yoyote atakaegusha na hili na kuhitaji...
Nina mpenzi ambae nimeshafanya naye mapenzi nae zaidi ya mara nne, ila kwa sasa amekuwa hataki kufanya mapenzi nami, akidai kuwa anaumia pindi anapofanya mapenzi, ninapomueleza basi tuachane, hataki anasema ananipenda.
Nifanyeje? Ushauri tafadhali
Naishi dar ila kwa sasa niko home tarime mara na nitakaa zaidi ya miezi sita.natafuta mpenz wa kunipa faraja kutoka tarime.au hata kama una rafiki yako huku unaweza niunganisha nae
Wanajamii wenzangu kwa anaehitaji kontena futi 20 na futi 40 zinapatikana na zipo za kutosha kabisaaa kwa anaehitaji ani email kwa anuani hii ya nnala@a1csgroup.co.tz
Tunahitaji oda za tshirt printing kuanzia tshirt 50,mtambo ni wa kisasa na unatoa quality ya maana,mi nipo dar,kwa anaehitaji tunaweza kuwasiliana kwa namba 0652993219.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.