msaada jamani nielekezeni wapi lilipo baraza la maaskofu kurasini. mimi natokea Sanza vatikani. nipande magari ya wapi na nishukie wapi? maana naenda kwenye interwiew j3
msaada jamani naomba mnielekeze jinsi ya kufika baraza la maaskofu kurasini. mimi natokea Sanza vatikani. nipande magari ya wapi na nishuke kituo gani? maana naenda kwanye interview j3
msaada jamani kuna msicha ana umri wa miaka 25. elimu darasa la saba. anatafuta kazi za nyumbani (housegirl) . ila isiwe kazi ya kulala kwa mwajiri ni yakwenda asubuhi na kurudi jioni. kuanzia j3 hadi j. mosi. mshahara kuanzia sh 80,000 maelewano yapo. atakayekuwa anamuhitaji awasiliane na mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.