miss msemakweli
Member
- Aug 5, 2011
- 11
- 1
msaada jamani nielekezeni wapi lilipo baraza la maaskofu kurasini. mimi natokea Sanza vatikani. nipande magari ya wapi na nishukie wapi? maana naenda kwenye interwiew j3
mimi nakushauri uchukue taxi mwambie akupeleke baraza la maaskofu. Usijioneshe sana kwamba una shida na maisha. Kwanza kwenye daladala utafika hususani hizo zinazopitia shimo la udongo utafika umechafuka sanapanda gari la kariakoo, ukishashuka tafuta magari ya temeke au mtongani kupitia shimo la udongo, kituo ni baraza la maaskofu ambacho ni baada ya highway, au panda gari ya tandika ukifika tandika tafuta gari ya kariakoo kupitia bandari / shimo la udongo shuka baraza la maaskofu.
Sina uhakika na kituo cha kushukia lakini panda bus lolote linalopitia Shimo la Udongo (Bus hilo linaweza kuwa la Temeke, Tandika, Mbagala au Mtoni). Utamuuliza Konda atakuonyesha kituo lakini ni baada ya kupita ofisi za UDA. Mabus unapandia Posta Mpya au Kariakoo.
asanteni wakuu
hiyo avatar yako tu imeshakukosesha kazi. huwezi kuwa mpenda kunyonya damu za watu halafu upate kazi ya kuifanyia kanisa. bora usiende tu umeshaliwa wewe labda ubadili avatar yako
asanteni wakuu
mimi nakushauri uchukue taxi mwambie akupeleke baraza la maaskofu. Usijioneshe sana kwamba una shida na maisha. Kwanza kwenye daladala utafika hususani hizo zinazopitia shimo la udongo utafika umechafuka sana
magari yanayopita shimo la udongo ni ya mtongani tu.mia
msaada jamani nielekezeni wapi lilipo baraza la maaskofu kurasini. mimi natokea Sanza vatikani. nipande magari ya wapi na nishukie wapi? maana naenda kwenye interwiew j3
hiyo avatar yako tu imeshakukosesha kazi. huwezi kuwa mpenda kunyonya damu za watu halafu upate kazi ya kuifanyia kanisa. bora usiende tu umeshaliwa wewe labda ubadili avatar yako