HABARI ZENU,
The controversy about the extension of the sea boundary has come at the right time when Zanzibaris have shown that they will no longer be hijacked when their vital national interest are at stake, regardless of party affiliation. It was rather disingenuous for Prof Tubaijuka to try...
Habari kwenu wanajamii,
mm ni kijana wa kitanzania ninaesoma nchini india diploma of criminology nimepewa project proposal na maada niliochagua ni child labour, ninachowaomba hapa ni manija ya vitabu, mwaka uliochapishwa na jina la mtu wa hivyo vitabu vinavyozungumzia child labour in tanzania...
Its SWAUM from narrated of Prophet Muhammad PBUHim, huwa hasemi kwa matamanio yake ila ni wahyi, Kwa kiswahili ni funga yaliobaki ni makosa ya KISARUFI na MANTIKI...
Hello Wanajamii, ni mara yangu ya kwanza kuomba ushauri hapa ukumbini baada ya kuvutiwa na fikra za maana hapa. Mm ni mwanafunzi wa BA Political science and Economic mwaka wa mwisho nchini India, matumaini yangu ni kua Balozi mbeleni kuiwakilisha nchi yangu ni kozi nogo zipi zinanifaa ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.