Habarini wadau wote wa humu.
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu ili angalau wahusika waone hili tatizo,nimeona ni bora niwape taarifa maana naona bado watu wanaumia.
Kabla ya kuzuiliwa Daladala kutoka nje ya mkoa wa Dsm kuingia mjini kati kulikuwa hakuna tatizo la kutoka na Kurudi...
Habarini wajameni,
Baada ya kuhangaika na bei za Noah show rooms hatimaye nimenyoosha mikono.maana bei imepanda sana.Nimefanikiwa kukutana na gari hii BF na muonekano wake ni kama Noah ila gharama yake ya manunuzi ni ndogo kidogo ukilinganisha na Noah..hivyo naomba kwa anayezifahamu gari hizi...
Habarini wadau,
Ninahitaji kununua kontena la futi 20 hivi karibuni.ila sijui namna bora ya manunuzi ili niwe salama.maana nasikia kontena huwa linakuwa na Document na sijawahi kuiona hiyo Document.Naomba kujuzwa namna bora ya manunuzi ili nisijepigwa ndugu zanguni.
Nawasilisha.
Habari za majukumu wakuu,
Katika pitapita zangu leo mtaani nimekutana na mafundi wakichimba shimo jipya la choo na kulifukia lile la zamani ambalo wamiliki wanadai limekuwa likijaa mara kwa mara..kilichonishangazampaka nimeamua kuuliza hapa,ni size na mtindo wanaotumia kujenga shimo hilo...
Magazeti na vyombo vya habari kwa jumla nchini Afrika Kusini leo vimekuwa vikijadili sera ya ukimwi ya rais wa zamani wa nchi hiyo Thabo Mbeki.
Swala hilo limeibuka upya baada ya Mbeki kujaribu kujieleza kupitia kwa blogu yake kuwa hakuwahi kukataa kuwa virusi vya HIV ndivyo vinavyosababisha...
Habari wana jamvi..
Leo Mamlaka ya mawasiliano (TCRA)imetangaza kuzima au kutoziwezesha simu ambazo hazina ubora kufanya kazi hapa tanzania,na zoezi hilo litaanza baada ya miezi sita kuanzia leo..swali langu ni je?hizi tecno zetu zitasalimika?
Habari zenu wakuu
Wakati ule wa analog ilikuwa kama huna hela ya kununua antena,waweza tumia hata tubelight mbovu,rim ya baiskeli,sinia la alumminium na ukaweza kutizama chanels mbalimbali.
Lakini huwa najiuliza...mbona ukiwa na lnb huwezi kufunga kwenye nguzo na kuiweka juu na ikakamata...
Habari wakuu,
Jana nimenunua simu tajwa hapo juu, wakaniambia nisiitumie mpaka nitakapoichaji maana ni mpya. Baada ya kuichaji nikaingiza simcard zote mbili, lakini cha ajabu mpaka ninapoandika hivi sasa hakuna simcard yeyote iliyosoma. Tafadhali kwa yeyote anayejua ufumbuzi wa hili kabla...
Habari wakuu.
Nyumba ina sebule na chumba kimoja chenye choo ndani.
Ina luku ya kujitegemea.
Maji yapo ndani(tank la kuhifadhia endapo yakikatika lipo lt 5000)
Nyumba ni mpya haijawahi pangishwa.
Iko ndani ya uzio.
Kodi ni laki moja kwa mwezi.
Utalipa miezi sita kila wakati wa mkataba...
Habari wadau,
Nimeroot simu yangu tecno m3 nikaondoa battery alert, baada ya kuiondoa. simu yangu ikifikia 15% ya battery siwezi kutumia tena huwa screen inakuwa nyeusi na kuandika "anfortunatly system UI has stoped".
Msaada jamani nataka kuiondoa hiyo message battery ikaribiapo kuisha ili...
Sina haja na salaam,(nina hasira).hivi nyie tigo...wenzenu wanakazana kuongeza vifurushi nyie mnapunguza,sasa kabla sijawahama rudisheni kile kifurushi cha kupiga mitandao yote cha dk 12 fasta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.