Habar wakuu mbali mbali,naomba msaada kwa mafundi wa Air condition za magari.
Jana wakati naendesha gar nilihisi kama ndani ya gari nnapowasha AC hakupatikan ubarid wa kutosha kama niliouzoea na nilipokuwa nikiigusa ile pipe inayopeleka ac ndan ya gari inakuwa ya moto hivo nikajua moja kwa moja...
Habari wapendwa, naomba msaada wa kupata fundi mzuri au ushauri juu ya tatizo linalonikabili kwenye gari.
Natumia gari aina ya toyota premio engine 1NZ,gari yangu ina tatizo la kugonga hasa ninapofunga breki yaani ninapokaribia kusimama kabisa au ninapoiondoa iwapo ilisimama kabisa!! Mlio...
Habari wapendwa,,nakumbuka niliwahi kuona uzi humu jamaa alipost juu ya kuuza spear za magar ambapo watu walikuwa wakimuuliza maswali na anawajibu vizur kwa kuwatajia bei ya spear wanazozitaka
Nimejaribu kuutafuta huo uzi sijauona,,tafadhali kama kuna mtu anaukumbuka au ana mawasiliano na huyo...
Habari wakubwa,,mm n mmiliki mgen wa gar naomba kujua ni kampuni ipi nzur kwa gear na engine ambapo gari ni automatic
Aina ya gar ni toyota premio, wapo walioniambia inahitajika type iv,naipata wap na mimi niko mbeya
Pia kati ya oili za Total na castrol zipi nzur na inafaa nitumie kwa km ngap...
Habari za Jumapili wapendwa
Hivi kunapotokea mgogoro baina ya wanandoa ambapo katika hiyo migogoro mke hapigwi wala hajatishiwa maisha,,baba mzaz wa mwanamke anaruhusiwa kwa utaratibu wa sheria ipi kunipeleka mahakaman mimi mume?
Pili baba mkwe anapomuhitaji binti yao lakin hasemi waz lengo wa...
Hello ndugunina tatizo nahitaji mnisaidie,
Nna Gari yangu Toyota premio ambapo imekuwa ikitetemesha mguu unapopunguza mwendo hasa ukiwa kuanzia speed 60
Tatizo hili limedumu kwa miez miwili sasa. Awali fund aliikagua ambapo alinishaur kubadili habu zote za mbele na kuzichonga upya router disk...
Habar za jumatatu ya kwanza ya mwezi September!! Naamin tu wazima!
Kama somo linavosimeka hapo juu,,nahitaji sports ream za premio new model!! Nitafurah kama nitazipata zinazokuja na Magar ama ambazo n used toka Japan!!
Sihitaji hiz za kariakoo wanazodai ni za udongo sijui zinapinda au...
Hello wakuu,,lengo c kutangaza kwa namiliki gari Bali n kagari ka kupewa na shemeji!
Hivo bas natafuta sport reams imara za saiz 195/70 R 14!! Pia nitafurah kama nitapata zile ambazo n used Japan kwa maana zinazokuja na Magar wengine wanazitoa. Sihitaji ream hiz zinazopinda ama kukatika mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.