Endapo Vodacom watakurekebishia hayo matatizo yako mawili uliyoanza kuyataja utaendelea kuwa mteja wao? au hii ndio promo kwa upande wa pili unakosubiri?
Baada ya kubishana kwa muda mrefu, mbongo na mzungu wakafikia hapa
Mzungu: nakuuliza swali ukikosa unanipa sh 500 na wewe utauliza nikikosa nakupa sh 10,000.
Mbongo: poa anza mambo.
Mzungu: ni mnyama gani anaweza kaa muda mrefu bila kula chakula na anaweza fikisha muda gani katika hali...
Ukuta wa ikulu uliharibika, wakandarasi waliitwa na kuambiwa atakayejenga kwa ubora mkubwa ila kwa bei nafuu ndiye atakayepewa kazi.
Mjerumani: nitajenga kwa mil 90 yaani 40 ya vifaa, 40 ya wafanyakazi na 10 ndio faida yangu.
Mchina: nitajenga kwa mil 70 yaani 30 ya vifaa, 30 ya wafanyakazi na...
Nina memory card ambayo ukiiweka kwenye simu ama computer inahitaji niiformat kabla sijaanza itumia. Nami nina vitu ambavyo ninahitaji nivitoe kabla sijaiformat. Naombeni msaada wa jinsi ya kutunza na kuzipata data zangu. . .
Ya kwanza hyo ni picha ya ambayo ukiangalia vizuri unaona kama mtu kainua miguu juu na hyo katikati ni kufuli. . . Na ukiangalia tena kwa makini unaona taa kama weng wasemavyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.