Misitu ni sehemu ya mazingira,so anaweza Fanya hiyo kazi kwani misitu inasimamiwa na Sheria za misitu na Sheria za mazingira.masuala mengine ya utawala na uzoefu utayapata kazini.Na siyo afisa mazingira tu hata afisa kilimo na uvuvi anaweza fanya
Siku ya jumamosi katika mtanange wa young Africans na mamelody ,je mamelody watavaa ule Uzi wao wa rangi ya njano na bukta ya bluu(Ubuntu bothu) au ule wa rangi nyeusi?
Nimeuliza hivi kwa sababu hata young Africans Wana uzi wa kijani/njano ambao kama watavaa wa njano utafanania na ule wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.