Hakuna cha masikini jeuri, wanaringia madarakaMaskini jeuri hahaha
Hayo mamlaka ya kuweka watu ndani kiholela kapewa na sheria gani? Ifike mahali wanaowekwa ndani wawafungulie madai mahakamani. Kitu pekee kinachoruhusiwa na sheria Mkuu wa mkoa/wilaya ni pale Mtu anapofanya kosa la jinai mbele yake au kusababisha uvunjifu wa Amani.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema haridhishwi na kasi ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka ya Gongo la Mboto na kama hali itaendelea hivyo atamuweka ndani mkandarasi au mhandisi mshauri.
Ametoa kauli hiyo leo Aprili 18, 2024 alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa barabara ya awamu ya tatu ya mradi wa mabasi yaendayo haraka yenye urefu wa kilomita 23.6 inayojengwa kati ya Gongo la Mboto hadi Katikati ya mji chini ya mkandarasi Syno Hydro.
Chalamila amefanya ziara baada ya kuwapo kwa malalamiko kutoka kwa wakazi wa eneo hilo juu ya tabu wanayoipata kufuatia ubovu wa barabara uliosababishwa na ujenzi unaoendelea.
Chalamila amesema mara zote mkandarasi amekuwa akijinasibu kufanya kazi usiku na mchana lakini hakuwahi kumshuhudia.
Huyu naye na kichwa chake kama tunguli ana mikwala mbuziMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema haridhishwi na kasi ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka ya Gongo la Mboto na kama hali itaendelea hivyo atamuweka ndani mkandarasi au mhandisi mshauri.
Ametoa kauli hiyo leo Aprili 18, 2024 alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa barabara ya awamu ya tatu ya mradi wa mabasi yaendayo haraka yenye urefu wa kilomita 23.6 inayojengwa kati ya Gongo la Mboto hadi Katikati ya mji chini ya mkandarasi Syno Hydro.
Chalamila amefanya ziara baada ya kuwapo kwa malalamiko kutoka kwa wakazi wa eneo hilo juu ya tabu wanayoipata kufuatia ubovu wa barabara uliosababishwa na ujenzi unaoendelea.
Chalamila amesema mara zote mkandarasi amekuwa akijinasibu kufanya kazi usiku na mchana lakini hakuwahi kumshuhudia.
HahahahaMbwembwe tu za kwenye vyombo vya habari.
Nchi imejaa viongozi vichaa watupu, unamuwekaje ndani mchina aliyekupa mkopo wa kujenga hiyo miundombinu?Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema haridhishwi na kasi ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka ya Gongo la Mboto na kama hali itaendelea hivyo atamuweka ndani mkandarasi au mhandisi mshauri.
Ametoa kauli hiyo leo Aprili 18, 2024 alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa barabara ya awamu ya tatu ya mradi wa mabasi yaendayo haraka yenye urefu wa kilomita 23.6 inayojengwa kati ya Gongo la Mboto hadi Katikati ya mji chini ya mkandarasi Syno Hydro.
Chalamila amefanya ziara baada ya kuwapo kwa malalamiko kutoka kwa wakazi wa eneo hilo juu ya tabu wanayoipata kufuatia ubovu wa barabara uliosababishwa na ujenzi unaoendelea.
Chalamila amesema mara zote mkandarasi amekuwa akijinasibu kufanya kazi usiku na mchana lakini hakuwahi kumshuhudia.
Je, kwenye Mkataba kuhusu Kandarasi hiyo kuna kifungu cha makubaliano kinachosema kwamba Mkandarasi akichelewesha utekelezaji wa Mradi adhabu yake ni kuwekwa ndani na Mkuu wa Mkoa??